Kama kawaida yake serikali ya CCM huwa haithamini wataalamu na badala yake wanafikiria nchi itaendelela kwa siasa na maneno mengi ya uwongo. Profesa Mwesiga Baregu ambaya amekuwa mhadhiri mwandamizi pale UDSM kwa muda mrefu na alipostaafu amekuwa akifanya kazi pale kwa mkataba.Inavyo onekana kwa sababu yeye ni mwanachama wa CHADEMA basi CCM kwa kushirikiana na serikali na uongozi wa UDSM wameamua kutompatia mkataba mpya na hii ni kwa sababu ya msimamo wake mkali dhidi ya uzembe unaofanywa na serikali iliyopo madarakani.
Napenda niseme tu kwamba bila kuthamini wataalamu na kukubali kukosolwa maendeleo hakuna. Hili liko wazi kwa sababu miaka zaidi ya 40 CCM imeendekeza siasa na uwongo ktk kuendesha nchi ndiyo maana wananchi wake bado ni maskini wa kutupwa na wajinga (hawana elimu).
Sote tunajua kuwa UDSM inakabiliwa na uhaba wa wahadhiri wandamizi, leo mnamyima mkataba profesa Baregu ambaye ni tegemeo kubwa ktk fani ya sayansi ya jamii nani ataziba pengo lake? hapo ndo tutamkumbuka prof. Luhanga ambaye alikuwa hatumii siasa kuendesha UDSM.
Prof. Baregu karibu jiunge hapa SAUT na uendelee kuwapiga bakora tu hao CCM wamefulia.
Ndiyo maana Rwanda wametuacha kwa sababu Kagame anawatumia sana wataalamu waliotoka hapa Tanzania lakini CCM inaona taabu ikikosolewa na wasomi wake.
Napenda niseme tu kwamba bila kuthamini wataalamu na kukubali kukosolwa maendeleo hakuna. Hili liko wazi kwa sababu miaka zaidi ya 40 CCM imeendekeza siasa na uwongo ktk kuendesha nchi ndiyo maana wananchi wake bado ni maskini wa kutupwa na wajinga (hawana elimu).
Sote tunajua kuwa UDSM inakabiliwa na uhaba wa wahadhiri wandamizi, leo mnamyima mkataba profesa Baregu ambaye ni tegemeo kubwa ktk fani ya sayansi ya jamii nani ataziba pengo lake? hapo ndo tutamkumbuka prof. Luhanga ambaye alikuwa hatumii siasa kuendesha UDSM.
Prof. Baregu karibu jiunge hapa SAUT na uendelee kuwapiga bakora tu hao CCM wamefulia.
Ndiyo maana Rwanda wametuacha kwa sababu Kagame anawatumia sana wataalamu waliotoka hapa Tanzania lakini CCM inaona taabu ikikosolewa na wasomi wake.