Kilichonisukuma ni kutaka kujua umasikini wa mikoa ya kusini umetokana na nini wajkati historia inaonyesha kilwa ulikuwa mji mkubwa sana kibiashara na mambo mengi sna yalifadhika kwa mikoa ya kusini ya Tanzania
Sasa swali langu ni hivi kwanini mambo yamegeuka ka kuwa ni mikoa isiyojiweza kiuchumi ukilinganisha na mikia mingine ya Tanzania, natalajia kujifunza na kusikia mengi kutoka kwa wadau mbalimbali natangulisha shukrani!
Sasa swali langu ni hivi kwanini mambo yamegeuka ka kuwa ni mikoa isiyojiweza kiuchumi ukilinganisha na mikia mingine ya Tanzania, natalajia kujifunza na kusikia mengi kutoka kwa wadau mbalimbali natangulisha shukrani!