Huyo mungu wako mmemgeuza PAKA?
Kwa maana yako ina maana ile nafsi ya pili ILIPOKUFA KWA MUDA WA SIKU TATU huyo mungu wako aliishi na Nafsi moja km Paka Mwenye nafsi nyingi sio?
Na huyo yehova km ni Mungu kweli kwanini asubiri mpaka apigane na viumbe aliowaumba yeye mwenyewe?
Kwanini hao maadu8 asiwachomoe roho zao tu biashara ikamalizika?
Sasa km mungu yehova Anapigana na Wewe unapigana Tofauti yenu ni nini?
Hizi akili zenu ndio maana mpaka kesho Mtaabudu Picha ya Mzungu.
Madrasatul ni wagumu sana kuelewa.Jiulize kwa nini Jihad imeshindwa kufanya kazi kwa Israel ndio utajua Mungu wenu ni Feki.