Nikiwa njiani nakuja Arusha kwa sikukuu nilielezwa kuwa mabasi yote ya Saibaba yana HIRIZI nyeusi kwa nyuma nje upande wa kulia juu.
Kwa niliyopishana nayo siku hiyo niliona kitu kama kitambaa cheusi kweli.
Je, ni kweli ni hirizi au ni aina ya kitambulisho?
Kama ni hirizi wanategemea nini kwa wateja/wasafiri wanaoiona?
Nawasilisha.
Picha inayoonesha kitambaa cheusi.
Kwa niliyopishana nayo siku hiyo niliona kitu kama kitambaa cheusi kweli.
Je, ni kweli ni hirizi au ni aina ya kitambulisho?
Kama ni hirizi wanategemea nini kwa wateja/wasafiri wanaoiona?
Nawasilisha.
Picha inayoonesha kitambaa cheusi.