Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kiukweli keshoo ntakutana naoo baadhi NA ntawaunganisha NA AMA katibu AMA naibu wa HII wizara ujinga atutaki tena...
Washindi wa kombe la cecafa wanawake Kilimanjaro queens pamoja NA ushindi wanaendelea kusotea posho zao walizoahidiwa
Wakiongea kwamasikitiko wanasema capt amekwensa tff kaambiwa aende airtell kafika AIRTEL kaambiwa pesa zishatoka ziko.tff kufika Kule walioambiwa nao wanawazungusha.....
Inasikitisha sana kama.MH Waziri utalikalia kimya hili jambooo ushindi kama huu pengine atakuja kuoona.uzao wako wa NNE....
Tuwathamini NA kuwapenda...
Tunashauri Pesa zao za ushindi wapewe cash on tym..kumekuwa NA shida sana zamalipo hasa hizitimu wanaposhindà...ukweli hali kama HII tumezoea hukonyuma MH WAZIRI Lazima uibadilishe.mwekahazina asionekana n Mungu kwa wachezaji wetu kamwe....
Ndioomaana mnakumbuka.issue.moja Nigeria mchezaji wetu alitaka chake mapema kabla yakuingia dar nakuapa kulianzisha...n kukimbia mambokama Hays....
Polenisana Sophia &company
Washindi wa kombe la cecafa wanawake Kilimanjaro queens pamoja NA ushindi wanaendelea kusotea posho zao walizoahidiwa
Wakiongea kwamasikitiko wanasema capt amekwensa tff kaambiwa aende airtell kafika AIRTEL kaambiwa pesa zishatoka ziko.tff kufika Kule walioambiwa nao wanawazungusha.....
Inasikitisha sana kama.MH Waziri utalikalia kimya hili jambooo ushindi kama huu pengine atakuja kuoona.uzao wako wa NNE....
Tuwathamini NA kuwapenda...
Tunashauri Pesa zao za ushindi wapewe cash on tym..kumekuwa NA shida sana zamalipo hasa hizitimu wanaposhindà...ukweli hali kama HII tumezoea hukonyuma MH WAZIRI Lazima uibadilishe.mwekahazina asionekana n Mungu kwa wachezaji wetu kamwe....
Ndioomaana mnakumbuka.issue.moja Nigeria mchezaji wetu alitaka chake mapema kabla yakuingia dar nakuapa kulianzisha...n kukimbia mambokama Hays....
Polenisana Sophia &company