Tshala
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 281
- 110
Mkuu, asante kwa hilo somo na nimekuwekea sanksi. Lakini usitegemee Mwiba aweze kukuelewa kabisaaaaaaa
Mpaka karne hii mtu bado umelala usingizi wa pono!!! unathubutu kumwona Magufuli ana wazimu kwa yeye kuangalia mahitaji ya wtz kwa miaka 10-15 ijayo, sheria ni msumeno umejenga kwenye rd reserve, utatoka tu!!! Go Magufuli go!