Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
wengine wanayo makubwa kama zebra za barabarani atu smtimes naskia huwa yanauma yale sijui kweli????
lol...ukute yale ya mikono, yaani yanakera, ki jumla hayapendezi kabisa.
wengine wanayo makubwa kama zebra za barabarani atu smtimes naskia huwa yanauma yale sijui kweli????
sina la kusema hapo lol!!!hahahaaaa kila akipiga hatua mbili tatu shurti abinue mguu au achokonoe chokonoe itoke... loh...kaaazi kweli kweli
Muhanga ishia hapa kwa leo. Somo limeeleweka. Ngoja nikamtafute mtaalam wa plastiki sajari!hahahaaaa kila akipiga hatua mbili tatu shurti abinue mguu au achokonoe chokonoe itoke... loh...kaaazi kweli kweli
lol...ukute yale ya mikono, yaani yanakera, ki jumla hayapendezi kabisa.
.bht, yaani kama unazo hizo sijui ndio mnaita strechi marks mwanangu sina cha kukuahidi lakini handas mi huanzia humo!! bht, unazo nini niku-PM??
wengine wanayo makubwa kama zebra za barabarani atu smtimes naskia huwa yanauma yale sijui kweli????
poa nenda PM basi tupange
ni yale manywele ya kule chini ndani ya penayi box, mie nikiyaona tu kwa macho yangu live, hujikuta kamtarimbo kangu kanadisa kama kiredio mkulima kilichowekwa betri mpya siku ya gulio katerero!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Leo kweli mmeamua kunikuza, ngoja nisepe!haswa hata nguo ya slivuless pale mmmmmmmh sio mwake hata!!
Mbona sasa hujibu kwenye pm? Jamani sore ntakuwa bize na muhanga kwenye pm!
bahati nzuri sina jamaeni!!!! afu hata he mwenye yale si chaguo langu.....
Leo kweli mmeamua kunikuza, ngoja nisepe!
kuna siku hauko bize huko wewe??? the usual
weeee wapo, chunguza utabaini!!! they look horrible kwao kuliko kwa wanawake (mtazamo binafsi kabisa huuu)hee hivi kumbe hata 'HEs' nao huwa wanakuwa nayo yale mamichirizi, katika pekua pekua yangu yoote hadi umri huu wa miaka 45 sijawahi kukutana na 'he' mwenye michirizi! kumbe bado sijawamaliza niendelee na utafiti wangu!! thanks for the info
Noted! Kumbe bado?
Hahaha! Leo ngoja niwahi kuchomoka ofisini! Kumbe nimeingia kwenye kitchen party bila kujijua!hee hivi kumbe hata 'HEs' nao huwa wanakuwa nayo yale mamichirizi, katika pekua pekua yangu yoote hadi umri huu wa miaka 45 sijawahi kukutana na 'he' mwenye michirizi! kumbe bado sijawamaliza niendelee na utafiti wangu!! thanks for the info
ni yale manywele ya kule chini ndani ya penayi box, mie nikiyaona tu kwa macho yangu live, hujikuta kamtarimbo kangu kanadisa kama kiredio mkulima kilichowekwa betri mpya siku ya gulio katerero!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mi bora nivuke salama! Alama hazina mamlaka!na vingine uvikimbie kama yaha maalama ya kuvuka barabara Iribini
Hahaha! Leo ngoja niwahi kuchomoka ofisini! Kumbe nimeingia kwenye kitchen party bila kujijua!