Wana JF nimeamua kuja hapa kuomba kutaka kumfahamu huyu Bwana ambae hivi karibuni kama wiki mbili zilizopita alitangaza nia kugombea ubunge Jimbo la Nzega.
Huyu bwana kwa jina anitwa DK HAMIS ANDREA KIGWANGALA nimeamua kuja kuomba msaada wa kutaka kumfahamu huyu Daktari wa binaadam ni kwasababu,nikiwa mkazi wa Dar ninaetoka Kijiji cha MIGUWA kata ya MIGUWA wilaya ya Nzega jimbo la Nzega ndugu zangu baada ya kumsikia huyu mtu huko kwetu wamekuwa wakiniuliza kuwa je nmfahamu?anafaa kuwa mbunge wetu?kwa sasa jimbo la nzega watu ambao wanafahamika na wana makundi makubwa ni LUKAS SELEII,NA HUSSEIN BASHE huyu daktari amekuwa mtu wa tatu kufahamika kama mgombea mtarajiwa kupitia ccm.
Kwanini nataka kumfahamu.
1) nisingependa kuwajibu ndg zangu juu ya mtu nisiemfahamu na wo wamevutiwa kusikia kuna mgombea mwingine kwani sasa jimbo la nzega baada ya miaka 15 ya mbunge selelii wananchi wengi wanataka kuwafahamu hawa wagombea wapya.
2) nimeleta hili hapa kwa kuwa naamini wapo wanaoweza kunisaidia kunipa taarifa sahihi juu ya huyu daktari na hii forum imekuwa usuful sometime kutupatia taarifa.
Ningependa kuwasilisha kama wapo wanaoweza kutusaidia angalau kufahamu credibillity yake,leadership abillity n mengine ili kuweza kutoa majibu sahihi.
Binafsi baada ya taarifa hizi nitamtafuta ili kuweza kuoanisha taarifa nitakazopata hapa na yy binafsi
naomba kuwasilisha
=================
UPDATE:
Majibu ya Dr. Kigwangalla (MB)
Huyu bwana kwa jina anitwa DK HAMIS ANDREA KIGWANGALA nimeamua kuja kuomba msaada wa kutaka kumfahamu huyu Daktari wa binaadam ni kwasababu,nikiwa mkazi wa Dar ninaetoka Kijiji cha MIGUWA kata ya MIGUWA wilaya ya Nzega jimbo la Nzega ndugu zangu baada ya kumsikia huyu mtu huko kwetu wamekuwa wakiniuliza kuwa je nmfahamu?anafaa kuwa mbunge wetu?kwa sasa jimbo la nzega watu ambao wanafahamika na wana makundi makubwa ni LUKAS SELEII,NA HUSSEIN BASHE huyu daktari amekuwa mtu wa tatu kufahamika kama mgombea mtarajiwa kupitia ccm.
Kwanini nataka kumfahamu.
1) nisingependa kuwajibu ndg zangu juu ya mtu nisiemfahamu na wo wamevutiwa kusikia kuna mgombea mwingine kwani sasa jimbo la nzega baada ya miaka 15 ya mbunge selelii wananchi wengi wanataka kuwafahamu hawa wagombea wapya.
2) nimeleta hili hapa kwa kuwa naamini wapo wanaoweza kunisaidia kunipa taarifa sahihi juu ya huyu daktari na hii forum imekuwa usuful sometime kutupatia taarifa.
Ningependa kuwasilisha kama wapo wanaoweza kutusaidia angalau kufahamu credibillity yake,leadership abillity n mengine ili kuweza kutoa majibu sahihi.
Binafsi baada ya taarifa hizi nitamtafuta ili kuweza kuoanisha taarifa nitakazopata hapa na yy binafsi
naomba kuwasilisha
Wana JF nimeamua kuja hapa kuomba kutaka kumfahamu huyu Bwana ambae hivi karibuni kama wiki mbili zilizopita alitangaza nia kugombea ubunge Jimbo la Nzega.
Huyu bwana kwa jina anitwa DK HAMIS ANDREA KIGWANGALA nimeamua kuja kuomba msaada wa kutaka kumfahamu huyu Daktari wa binaadam ni kwasababu,nikiwa mkazi wa Dar ninaetoka Kijiji cha MIGUWA kata ya MIGUWA wilaya ya Nzega jimbo la Nzega ndugu zangu baada ya kumsikia huyu mtu huko kwetu wamekuwa wakiniuliza kuwa je nmfahamu?anafaa kuwa mbunge wetu?kwa sasa jimbo la nzega watu ambao wanafahamika na wana makundi makubwa ni LUKAS SELEII,NA HUSSEIN BASHE huyu daktari amekuwa mtu wa tatu kufahamika kama mgombea mtarajiwa kupitia ccm.
Kwanini nataka kumfahamu.
1) nisingependa kuwajibu ndg zangu juu ya mtu nisiemfahamu na wo wamevutiwa kusikia kuna mgombea mwingine kwani sasa jimbo la nzega baada ya miaka 15 ya mbunge selelii wananchi wengi wanataka kuwafahamu hawa wagombea wapya.
2) nimeleta hili hapa kwa kuwa naamini wapo wanaoweza kunisaidia kunipa taarifa sahihi juu ya huyu daktari na hii forum imekuwa usuful sometime kutupatia taarifa.
Ningependa kuwasilisha kama wapo wanaoweza kutusaidia angalau kufahamu credibillity yake,leadership abillity n mengine ili kuweza kutoa majibu sahihi.
Binafsi baada ya taarifa hizi nitamtafuta ili kuweza kuoanisha taarifa nitakazopata hapa na yy binafsi
naomba kuwasilisha
Nikiwa mjini nzega nimeckia taarifa kuwa jina la Hamis kigwangala ni lam2 mwingine anayeishi kwny jimbo unaloongoza, na m2 huyo aliwahikujitokeza nakusema ndiye mmliki halali wa jina hilo, Je madai hayo ni yakweli? Kama ndiyo, kwanini uliamua kuchakachua identity yako? Majibu tafadhari.
Wengi wamekuwa wakimshangaa Hamis Kigwangala, Mbunge wa Nzega (CCM), kutokana na kauli na matendo yake. Wengi wameshangaa jinsi alivyohitimisha hoja yake leo bungeni iliyokuwa inahusu ajira ya vijana.
Hamisi Kigwangala, kama anavyojulikana, jina hilo si lake, bali jina lake halisi ni Hamisi Bagalile. Alitumia jina la Kigwangala alipopokonya nafasi ya Kigwangala aliyekuwa amefaulu kwenda kujiunga na masomo ya Sekondari. Kwa tukio hilo pekee yake, Hamisi Kigwangala anayefahamika kwa wengi kama mbunge, ni mwizi wa jina, na mwizi pia wa haki ya Hamisi Kigwangala aliyestahili kupata elimu ya sekondari lakini Bagalile aliiiba.
Baada ya kuhitimu masomo yake ya sekondari, Hamisi Kigwangala (mwizi wa jina), aliajiriwa na kampuni ya Moolman Brothers, kampuni ambayo ilikuwa ni Mining Contractor katika mgodi wa Lusu, kule Nzega. Alikuwa ni storeman lakini Hamisi Kigwangala (mwizi wa jina), hakuacha tabia yake ya wizi. Alishirikiana na mfanyakazi mwenzie katika wizi wa baruti. Walikamatwa, na kisha waliwekwa mahabusu ya polisi, kampuni iliamua kutoendelea na kesi, ikaamua kumfukuza kazi Kigwangala (mwizi wa jina) na rafiki yake.
Baada ya kumaliza masomo yake ya fani ya udaktari kwa taabu, aliingia kwenye biashara (ambako nako anatuhumiwa kufisadi hela ya Stimulus package).
Mwaka 2010, aliamua kugombea ubunge kupitia CCM. Ambapo pamoja na kutoa hongo katika vijiji mbalimbali, kwenye kura za maoni ndani ya CCM aliambulia kuwa mtu 3 akiwa mbali sana kutoka kwa mshindi wa kwanza (Bashe aliyepata kura zaidi ya elfu 10) na wa pili (Seleli), huku yeye akiambulia chini ya kura elfu 3. Lakini kwa sababu Kigwangala ni mtoto wa Mama (kama anavyofahamika kwa wengi kutokana na yeye kuwa mtu wa karibu na WAMA), aliteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM. Kampeni zake zilikuwa za taabu sana, na maeneo mengi alishindwa kufika kutokana na kuzomewa. Na ndipo serikali ilimwamuru Mkuu wa Wilaya ya Nzega kuhakikisha Kigwangala (mwizi wa jina) anakuwa mbunge, na ikawa hivyo.
Hivi karibuni, kama ilivyo ada kuwa mwizi haachi asili yake, Kigwangala (mwizi wa jina) aliiba hoja iliyoletwa na mwana JF hapa jukwani na kwenda kuiwakilisha bungeni kama hoja yake.
Ukisoma historia yake, ni dhahiri huwezi kutegemea mtu wa namna hiyo awe na hekima. Yawezekana ana akili ya kukariri darasani, na ndiyo maana aliweza kufaulu masomo ya udaktari lakini ni dhahiri kuwa hana hekima wala busara, na hilo limejidhihirisha katika michango yake mingi bungeni. Ni lazima tufahamu pia kuwa hata shetani huwa ana akili, hata majambazi huwa na akili; kuwa na akili si hoja, hoja ni je unaitumia hiyo akili kwa namna gani? Unaweza kuitumia akili kutenda uovu au unaweza kuitumia akili yako kwa faida ya jamii yako.
Unapokuwa na wahalifu wa aina ya Kigwangala (mwizi wa jina) ujue una kazi kubwa ya kuwadhibiti maana hawa ni wahalifu wenye akili.
=================
UPDATE:
Majibu ya Dr. Kigwangalla (MB)
Jaribu kusoma hapa kigwangalla.blogspot.com na utapata wasifu wangu kama nilivyouandika mwenyewe nilipotangaza nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Nzega.
Pia waweza cheki hapa PEERCORPS - Home kwa taarifa zaidi kuhusu shughuli zangu za kijamii, na jaribu kusearch kwenye Google unawezapata some hits zinazomhusu Kigwangalla.
Kuna watu wengi sana humu wamewahi kusoma na au kufanya kazi na mimi sehemu mbalimbali, wanaweza kukupa majibu mengine na ya ukweli na uwazi zaidi kuhusu mimi na uwezo/uzoefu wangu wa uongozi, kuhusu credibility n.k., n.k.
Jina langu kamili ni hili hapa: Dk. Hamisi Andrea Kigwangalla (wengine huandika jina langu la ukoo kama Kigwangala) hivyo unaposearch jaribu kuweka yote mawili na utapata taarifa nyingi kidogo kuhusu mimi...
Ukitaka kujua zaidi kuhusu mimi na kutoka kwangu, nipigie kwenye namba za simu zilizopo kwenye blogu yangu [kwenye tangazo langu la nia.
Ahsante sana mniMiguwa mwichane [nilisoma Mwanzoli shule ya msingi mnamo mwaka 1991.
Regards,
H.K.
Mimi naitwa Hamisi Andrea Kigwangalla, kama kuna mtu anadai jina langu ni lake na kwamba nililinunua jina lake, sasa si alishaliuza (ha ha ha aaa), ukiuza kitu bado kinabaki kuwa cha kwako tu?
CHADEMA wanafanya siasa kwenye mambo wasiyoyajua. Mimi sijawahi-iba, nunua au hata kusomea shule jina la mtu! Kama yupo mwenye malalamiko hayo si afuate utaratibu wa kudai jina lake??? (Kama amedhulumiwa?)
Haters hamtofanikiwa kunishusha kama Mungu ameamua kunipandisha! You will struggle but you will never be successful since GOD is on my side and time is on my side!
Mjadala huu ulikuwepo sana enzi za kampeni na maelezo yalitolewa na yakatosha. Maajabu yameanza kuibuka upya yaleyale ya zamani baada ya kuona nafanya kazi nzuri jimboni kwangu na wanaolitaka jimbo kushtuka na kuona kimbunga Kigwangalla hakizuiliki!
Ahsante sana Ntemi, japokuwa umeficha jina, najaribu kukung'amua lakini wapi!
I wish wanaJF waliokuwa wakichangia kwenye ile thread nyingine iliyofungwa kule wasome huu mchango wako labda watapata kumjua H.Kigwangalla ni nani na ana wasifu gani.
Wengine walishaanza kutaka kusema eti ni school drop out....ha ha ha, kweli ukitaka kuchafuka we tangaza nia tu!!!
Malengo yangu makubwa ni kuleta mapinduzi kwenye siasa za kiTanzania, kuhamasisha wimbi jipya la siasa - kutoka siasa za kuongea sana bila kutenda na kuelekea kwenye siasa za kiutendaji zaidi! Maendeleo yanawezekana tu kama tutapata viongozi wazuri, na mimi najiamini ni kiongozi mzuri, tena mzuri sana kuliko hata baadhi ya viongozi wanaozoa sifa huku sisi tunaowajua historia zao tunacheka tu pembeni!
Kama unavyopafahamu kwetu na asili yangu, nadhani ndo maana unashangaa leo hii kuniona nimefika hapa, mafanikio yangu ni ya kazi halali ya mikono yangu na wala si ya kurithi au kupewa au kupendelewa... nimejituma kwa kufuata kanuni na taratibu na mafanikio nikayapata! Hivyo ninaamini katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa na bila kukata tamaa. Na ndo maana nataka niwe mfano hai wa uongozi unaotakiwa ili kuleta mabadiliko nchini kwetu.
Kuna kauli nyingi sana nazisoma kutoka kwa watu wanaoonekana kuwa makini sana, hapa JF, FB na hata kwenye mtandao wa watu tuliosoma na kufanya kazi Muhimbili, nyingi ni za kukata tamaa na pengine wengi wanafikiria kuwa hii nchi imeoza kiutawala na haiwezekani kubadilika, wengine wanakuwa na hasira tu bila hata mikakati ya kuangalia kwamba wao kama wao wanafanya nini ili kuleta mabadiliko?
Tunashindwa kuelewa kwamba tuna tatizo moja kubwa la kimtazamo na kifikra...tunakuwa slow kwenye ku-take actions towards implementation of action plans of the change we want to see, we want to be...we feel like there is a super being called 'politician' or 'government' somewhere who is the solution to all our problems and that this super being is not doing his job, he is arrogant, deaf, corrupt, incompetent, dead etc etc etc ...na kusahau kwamba serikali ni sisi, inawekwa na sisi, inafanyiwa kazi na sisi; sasa ni nani alaumiwe? Tunafanya nini ili kuleta mabadiliko?????????????? Au tunalaumu tu na kupiga kelele kwa kuwa hatujaingia humo ndani (mjengoni - wengi wana dhana finyu ya kufikiri kuwa wenye dhamana ni wabunge na mawaziri tu) na kufanya kazi?
Hivi wanaJF wenzangu humu wanafanya kazi wapi? Wengi watakuwa humu humu nchini, najua wachache wako nje...lakini je sisi hawa hawa tuliopewa dhamana kwenye sehemu zetu za kazi, are we the best in what we do? Au tumeshakata tamaa na sisi tumeamua kuoza tu...Kama wewe unachagua wabunge wanaokubali kila kitu na unawaacha wawakilishe jimbo kwa zaidi ya miaka 15 unategemea mabadiliko kweli? Kama unachagua mbunge ambaye hawezi kuchambua makabrasha na kuhoji unategemea mabadiliko kweli?
Lets be realistic here! Kama unahamasisha watu wasiende kugombea wamuachie mtu asiyefaa eti kwa sababu amechangia hoja ya Richmond....atafanya kazi kweli huyu asipopambana kupata nafasi? Inabidi wabunge na hata Rais wapate Challenges kali kupata nafasi ili akiingia afanye kazi kweli kweli kulinda kura zake, maana bila hivyo hatarudi tena mjengoni! Hata mimi nikiwa mbunge, wengine na waje wagombee na kama nikiwa sijawaridhisha wapiga kura basi na wasinipe tena fursa ya kuongoza!
Ningeongea mengi lakini naomba niishie hapa kwanza.
Kigwangalla.