Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
bokassa,
Wewe ulikuwa selule.
Anyway. Unanikumbusha C za matroni. Kuna jamaa aliona mademu wamekaa chini hawafanyi kazi na yeye akajiunga nao.
Afande aliyekuwa anatafuta watu waliojongo akaanza kuuliza wanafanya nini. Mademu wakajibu wana C za matroni. Afande akawaachia kiulaini na alipomuuliza jamaa. Jamaa naye akatia ana C ya matroni.
Wewe ulikuwa selule.
Anyway. Unanikumbusha C za matroni. Kuna jamaa aliona mademu wamekaa chini hawafanyi kazi na yeye akajiunga nao.
Afande aliyekuwa anatafuta watu waliojongo akaanza kuuliza wanafanya nini. Mademu wakajibu wana C za matroni. Afande akawaachia kiulaini na alipomuuliza jamaa. Jamaa naye akatia ana C ya matroni.