January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!

Pasco,

..Regia Mtema alitakiwa awe-mentioned post humously.

..lakini Dr.Slaa naye kwa kweli tumekuwa naye hapa JF which I think has been very healthy.

NB:

..Hivi January atajinasua vipi na hili shombo na janaba ya ufisadi iliyoko ndani ya CCM?
Mkuu Joka Kuu, kusema ukweli hawako clear kuhusu vigezo ila wametumia fb na tweeter tuu na blogs as added advantage.

Kwenye CCM hakuna wa kujinasua ni kuzama nayo pamoja!.
 
Top Interactive politician in social media? Yes
How many Tanzanians have internet?
How many Tanzanians have umeme? Bora Halima na Mnyika ambao wapiga kura wao wengi wana umeme!
More than 90% ya wanaowaongoza hawana umeme sembuse internet, wewe unakalia social media!
Wananchi wanataka waongozwe kwenye maendeleo, wala vijisenti vya msaada!
 
Kama mtu hayuko JF hastahili kabisa kuwa kwenye hiyo List. Zitto na Dr Slaa ndio wanajitokeza sana, na hakuna atayebisha ujasiri wa Zitto kushiriki mijadala hata ile inayomkosoa. Sijui huyo January Makamba anapigia wapi debe but in my view Zitto ni zaidi ya January, tena kwa mbali sana.

Zitto nambari one!!!!!
 
Kama mtu hayuko JF hastahili kabisa kuwa kwenye hiyo List. Zitto na Dr Slaa ndio wanajitokeza sana, na hakuna atayebisha ujasiri wa Zitto kushiriki mijadala hata ile inayomkosoa. Sijui huyo January Makamba anapigia wapi debe but I am view Zitto ni zaidi ya January.

Zitto nambari one!!!!!

hizi data wamezicollect kwenye tweeter peke yake. Hawajagusia jf wala nini
 
HUU NDuO WENDA WAZIMU....PASCO nina wasiwasi na upstairs ukoje this is stupid topic ever
Wewe umenasa umembea na unauleta hapa ujadili SO WHAT?? VERY STUPID
Vigezo gani vinetumika? kwanini hawaji JF??? isije kuwa mambo ya ZA MUTUZ anapost mambo ya Sijui demu huyu katoka hot, mara sex, mara mtu wangu
Where do they interact????
Mkuu Kachanchabuseta, kuikweli mwendawazimu huwa hajijui yeye kuwa mwendawazimu bali wamuonao ndio humjua kuwa ni mwendawazimu!. Naomba huu uendawazimu uishie kwangu tuu niliyeanzisha hii thread na usiextend mpaka kwa wachangiaji.

Kuhusu mimi upande wa uptairs nakiri I might be stupid na hii topic might be ndio most stupid topic ever!, ila stupidity nayo ni subjective!.

Pia kiukweli mimi sipingi maoni na mtazamo wako kwa sababu hata
1. Galileo Galilei alipogundua telescope na kusema dunia ni duara, aliuwawa kwa kosa la kumkufuru Mungu kwa kusema uwongo.
2. Archmedes alipogundua law of floatation alitoka bafuni na birthday suit yake na kukimbia mitaani akiimba "eureka", watu walimkimbia wakijua ni mwendawazimu!.
3. Sir Isaack Newton alikuwa anafanya experiment ya maji yenye yai yataanza kuchemka baada ya muda gani, alitumbukiza time watch kwenye maji na kulishika yai!.

Pasco
 
Mwanasiasa wa kwanza hapo ni Zitto Kabwe . J. Makamba anaweza kuwepo kwenye top ten ila sio top 5. Nape (Japo ana post zenye utata ila hata humu jamvini amejitokeza kutetea anapoandikwa) kutokuwepo kwenye top ten na kumweka Ridhiwani ni ujuha na kujikomba. Mawasiliano ya Zitto kwenye social media ni kubwa sana kuliko mwanasiasa yeyote.
 
Ni mwanasiasa ila bado hakustahili kuingia kwenye top ten. Sio yeye tuu ambaye hastahili, hata No. 8 hakustahili kuwemo kwenye top ten!.

Usichanganye wanasiasa wa jf na wanasiasa wa ukweli. Mfano humu jf kuna vichwa hatari kwenye jukwaa la siasa ila kiukweli sio wanasiasa kabisa. Mfano ni mimi Pasco wa jf, huwa nina coment sana tuu kwenye jukwaa la siasa, lakini kiukweli mimi sio mwanasiasa kabisa, sina chama sio mshabiki, sio mfuasi na sijikombi kombi popote wala kwa yeyete!.

Haaaaaaaaaaaa kumbe kuna wanasiasa wa JF!! Hahahaaaaaaaaa nachanganya na zangu!
 
magamba=clouds media but against jf great thinkers . Mitandao ya kijamii kwa hoja tz jf inaongoza sema magamba hawataki kusema ila wanautegemea sana huu.
 
Hamna ki2 hapa,..wangeangalia kigezo cha umaarufu mtaani..malangali hawabrowse..eti RIZ,JANUAR ATI MOO dewji.Huu ni uzandiki
 
Vigezo ni vipi? Followers in Twitter au likes in FB au ni kutoa majibu kwa Posts??..

Kama ni category ya followers na Likes Dr Slaa ndio most interactive in social media in TZ maana hata mkuu wa nchi hamfikii kwenye FB, ana watu arnd 36000 na pia ana-update status yake frequently yeye mwenyewe.

Kama ni kigezo cha pili kitatumika, basi Zitto namba moja akifuatiwa na Nape Nnauye kisha Makamba.

Regard
Donyo
 
Back
Top Bottom