Lt Gen. Kayumba Nyamwasa: Why I fled Rwanda'

[quote














Kigali is safe,free of corruption & very clean,fully blanketed with broadband high speed internet etc...why all of the sudden everybody is interested with Rwanda? no oil,no gold why?theres something right kina kagame wanafanya ndio maana wameattract lots of friends & foes alike.[/quote]

we jamaa ni wa ajabu kweli,tunaongelea rwanda we unaongelea kigali,anyway mshasahau kama rwanda ina maeneo mengine zaidi ya kigali,by the way hiyo kigali yenyewe ni sawa tu na mkoa wa mbeya kwa hapa TZ.
 
Nadhani maoni yangu yanatosha kwa sasa, ukweli unabakia kuwa hatma ya warundi na wanyarwanda iko mikononi mwao. But i wish them well! Ukabila siyo deal! Na si kwao tu, hata Kenya, Uganda, haya mambo yanatakiwa kuisha. Masuala ya Rwanda si kipaumbele changu hata kidogo, maana waweza kuniuliza, pili pili usiyokula yakuwashiani, r u even one of us? I was only epressing my opinion!

I am rolling!
 
Kwa hali ya rwanda ni suala la muda tu lazima wahutu watarudi tu madarakani. Haiingii akilini eti leo kagame anajitangaza kuwa mdemokrasia? mbona hajatubu kwa makosa ya mauaji ya halaiki kule DRC?
 
Fugwe: Nakushukuru pia. don't worry, inavyoonekana kwa utafiti mdogo nilofanya Kagame mwenyewe naona ana maadui wengi, tena na watusi wenzake wakiwemo! Nimekwenda kwenye blog moja kuhusu kukimbia kwa Nyamwasa nikasoma comments za wanyarwanda wenyewe, lo! wao wenyewe wanasema tatizo la Rwanda siyo ethnicity, bali ni leadership! Kwa upande mmoja Rwanda ni ngumu kutawala, kwa jinsi ninavyowajua historia yake! Now was there a better a president than Kagame, Habyarimana mwenyewe alitawala kwa kuua wapinzani..yaani viongozi wote wa Rwanda waliotangulia walikuwa hivyo! Utawasaidiaje bwana Fugwe! Mi pia si mmoja wao, na si kwamba nawakwepa ila ndivyo history ilivyonihukumu. Ila na sisi ni bahati tu, tusiwacheke! Si kwamba wanapenda ni ajali ya maisha, utawasidiaje ndugu?
 
Kwa hali ya rwanda ni suala la muda tu lazima wahutu watarudi tu madarakani. Haiingii akilini eti leo kagame anajitangaza kuwa mdemokrasia? mbona hajatubu kwa makosa ya mauaji ya halaiki kule DRC?


Suala si Mhutu au Mtusi kuingia madarakani..na hili wanalithibisha wanyarwanda wenyewe maana (soma blogs zao) Suala ni kiongozi yupi bora kwa wanyarwanda..anaweza akaingia Mhutu hali ikawa mbaya kuliko ilivyo leo! Rwanda itakuwa ya Wahutu na Watusi milele....kabla ya Kagame viongozi wote walikuwa Wahutu..did it help them! Habyarimana aliua wahutu wenzake kama sisimizi..afer all Watusi wakati huo walikuwa hawawezi kujishusha na siasa, achli mbali hata kusoma! uliza kina Kavaruganda na wengine wasiotoka Ruhengeri!
 
Wednesday, 24th March 2010.

Arrest warrants issued for Kayumba and KaregyeyaBy our reporterKIGALI - A highly placed source in the Prosecutor General's office has revealed to The New Times that the government has issued international arrest warrants against Lt. Gen. Kayumba Nyamwasa and Patrick Karegyeya, who are believed to be behind recent terrorist activities in and around Kigali. The two fled to South Africa.
The source, added that, extradition requests had already been sent to South African authorities.
"The charges include terrorism and creating a terror criminal organisation," the source said. "Interpol has already been alerted."
"We have assured the South Africans that the two fugitives would receive a fair hearing and will be treated in line with international humanitarian law," the source added.
On February 19, three grenades were hurled at various bus stands around the city, killing two people and wounding 28.
Prosecution has confirmed that they have testimonies from several witnesses, who link the attacks to Kayumba and Karegyeya.
Kayumba, the former High Commissioner to India, fled the country immediately after the attacks. He passed through Uganda and proceeded to join Karegyeya in South Africa.
Once extradited, the two suspects will be tried in the High Court at First Instance and appeals would be heard by the Supreme Court.
Ends
source.newtimes rwanda
 
naona jamaa wameshtuka maana wanajua akikamatwa na international court akatoa maelezo yake itakuwa soo mbaya kwao.
 
naona jamaa wameshtuka maana wanajua akikamatwa na international court akatoa maelezo yake itakuwa soo mbaya kwao.

mkuu
wameshituka nini? maana naona wametoa hiyo warranti yakumtia nguvuni ama wame withdraw hiyo kitu.??
 
mkuu
wameshituka nini? maana naona wametoa hiyo warranti yakumtia nguvuni ama wame withdraw hiyo kitu.??
hiyo warrant ni kuiomba serikali ya afrika kusini iwadake kisha iwarudishe rwanda wao wamedai watawa treat kiinternational,jamaa wanahaha maana kayumba kakubali kwenda kutoa testimony zake kuhusu genocide na RPF crime,assasination of two president, i mean yuko tayari kwenda kuhojiwa spain kuhusu makosa yake maana ni mmojawapo kati ya wale maofisa tisa wa rwanda wenye international arrest warrant,na hicho ndio kinamtoa jasho kagame maana jamaa atafichua siri zote ili apewe political asylum.
 
hiyo warrant ni kuiomba serikali ya afrika kusini iwadake kisha iwarudishe rwanda wao wamedai watawa treat kiinternational,jamaa wanahaha maana kayumba kakubali kwenda kutoa testimony zake kuhusu genocide na RPF crime,assasination of two president, i mean yuko tayari kwenda kuhojiwa spain kuhusu makosa yake maana ni mmojawapo kati ya wale maofisa tisa wa rwanda wenye international arrest warrant,na hicho ndio kinamtoa jasho kagame maana jamaa atafichua siri zote ili apewe political asylum.

inaonekana wa south wameshamuhoji huyo jamaa, na ili wambane vizuri kagame wakamwekea hako kajimtego. Sasa si Kagame akubali jamaa wa-wa treat kama international.Sasa ana ha ha kutafuta nini? maana vinginevyo jamaa watapeta tu na ulimwengu utamgeuka kagame kama akiogopa hilo.
 
Huyu jamaa kwani ni mhutu. But whatever tribe he is nahisi KAYUMBA hajaridhika baada ya mapambano yote kutupwa ubalozini tena India. kavumilia kachoka anataka mabadiliko labda ataekwa position anayotaka yeye.

"Fahari wawili hawezi kukaa zizi moja".

Kwa mtazamo wangu huyu kayumba alitarajia more than kuwa Rwanda ambassodor to India. Ni hii tamaa ya cheo ndio inamfanya atake watu waone other side of kagame's face. Kagame huyu wa leo ni yule yule kayumba aliyekuwa naye msituni.

una muhukumu kayumba isivyo sahihi, fuatilia maelezo yake, utagundua kuwa alianza kutafutwa kwa maneno, so ni kigali ndiyo iliyokuwa inamtilia mashaka, na ndiyo ilimvua ubalozi
 
Aluu
wanyarwanda wazuri huyu jamaa kama yuko hivi mke wake atakuwaje?

Hicho ndo kimewaponza mumewaoa na kuwaingiza kwenye system,mbona wapo Watanzania wazuri tu wewe njoo huku kwetu Namanyere achana na watusi bwana yaani hawaachi asili tena utashangaa unamweka ndani lakini anashikishwa mimba na mtusi mwenzake na siku akitimua anakuachia vumbi.Mfano kama wewe ni Mnyakyusa mwnzangu badala watoto wakizaliwa awafundishe Kinyakyusa yeye anawafundisha Kinyarwanda ili iwe rahisi siku akitaka kuondoka nao.Yaani jamaa wako focused sana
 
Kagame alichotwambia ni kwamba alifuata Nterahamwe Congo na ninaamini hivyo mpaka leo. Iwapo aliua Wakongo wasiokuwa na hatia, unarmed, just for the sake of killing, that was very wrong. Wakongo ni jirani zetu na ndugu zetu kama walivyo wanyarwanda na warundi! Sasa je ni kweli, that you one will have to prove it before the court! Ninachojua mimi, iwe Kagame au M7 na sasa mnamsema na marehemu Savimbi kule wanafuata kuiba, lakini je kuna watu wanaiba kama watanzania, milioni 800 za TASAF zimetafunwa kwenye wilaya yangu bila kumfikia hata mlengwa mmoja! (kamfano kadogo tu). Msukumo mkubwa wa ndani Kongo (Eastern) ni kupora mali ambazo hazina ulinzi, kwani Kinshasa iko mbali mno na Kabila hawezi fanya kitu. Lakini ikumbukwe kuwa Nterahamwe in Congo was a real threat, so Kagame had to pursue them, since Kabila (both marehemu na mtoto wake) couldn't tame them given the nature of The vast Congo. Mimi imani yangu ni kuwa aliua wanajeshi Nterahamwe, ex FAR na their Hutu accomplices, na pengine wakongo waliokuwa wanasaidia adui zake ambao nao wanakuwa adui zake kwa mantiki hiyo. Lakini iwapo aliua wakongo tu, kwa vile ni wakongo hilo ni kosa kubwa. Lakini katika vita ya kisasa, naamini hakuna mpiganaji anapenda kujiongezea maadui bila sababu, hiyvo sababu ya kuua wakongo mimi hainingii akilini. Je si kwamba na yeye Kagame alikuwa na washirika wake wakongo? Iwapo aliiba mali, basi walioiba ni wengi na wakamatwe wote, akiwamo M7, na makampuni ya kimataifa yakiwemo ya Marekani, Uchina, Ulaya na kwingineko. Siyo yale ya kwetu ya kukamata fisadi wachache wakati wengine wengi mapapa wanaachwa. Hivi hizo resources za kukamata wahalifu wote wa Great Lakes region zitatoka wapi, mbona wengi na uharifu umefanyika kwa miongo mimgi sana!

Acha utusi wewe, wapi sheria za kimataifa zinaruhusu kuingia nchi nyingine na kuvamia eti simply because unatafuta adui yako.Kama ni hivo mbona hatujawahi kusikia wanajeshi wa Burundi wanavamia makambi ya Wakimbizi ya Katumba, Mishamo na Ulyankuru kuwasaka wakimbizi wa Kihutu ambao walikua threat kwenye serikali ya kuanzia Michombero, Bagaza na hata Buyoya? Mbona Rais alietunguliwa wa Rwanda Habyarimana hakuwafuatilia wakimbizi wa Kitutsi waliokuwa Mwese maeneo ya kule Mpanda na huko kwenye makambi yao yaliyokuwa Kagera. Mimi nachojua mtu akishacrose border whatever he/she is yupo salama anatakiwa kulindwa na nchi husika.
So by conclusion kitendo cha Kagame kuvamiaDRC simply because anatafuta ex FAR army ni kinyume cha mikataba ya wakimbizi ya umoja wa mataifa na anafanya hivo kwa sababu anajua kuwa hata huyo rais wa DRC ni wenzake so wanashirikiana.But am teling you, history is a good teacher you just watch and learn ipo siku KAGAME ATAFIKISHWA THE HEAGUE KUJIBU MASHTAKA YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA YA MWAKA 1994 NA HAYA YANAYOENDELEA DRC
 
wewe lazima utakuwa carnivorus!

"carnivorus!" uliyoandika nina hikika sio ile ya tuliyofunishwa kwenye bios-lagos kanumbas secondary school. Ebu nitegulie kitendawili una maanisha nn na hiyo "carnivorus". hhahahhahaha
 
Hicho ndo kimewaponza mumewaoa na kuwaingiza kwenye system,mbona wapo Watanzania wazuri tu wewe njoo huku kwetu Namanyere achana na watusi bwana yaani hawaachi asili tena utashangaa unamweka ndani lakini anashikishwa mimba na mtusi mwenzake na siku akitimua anakuachia vumbi.Mfano kama wewe ni Mnyakyusa mwnzangu badala watoto wakizaliwa awafundishe Kinyakyusa yeye anawafundisha Kinyarwanda ili iwe rahisi siku akitaka kuondoka nao.Yaani jamaa wako focused sana


Huyo mnyarwanda atawafundishaje kinyakyusa labda awe amezaliwa huko unyakyusani...it doesn't make sense.
 
Leo nilikuwa najaribu kupitia pia vituko vya Gen Kagame.Ni bora angefuata ushauri wa Baba Mwanaasha labda atafika mbali akisusa hakika siku zake zinahesabiwa.
 
Back
Top Bottom