Air condition inapunguza nguvu za kiumeHata hiyo namba 9, unaweza kutumia Air conditioning tu.
Unajua kua Bruney mwanamke hapigi kura mpaka leo? Hiyo ni haki kweli? Mwanamke anatakiwa kuazwa kwenye mazungumzo na sio yeye kuanzaMwanamke hajadidimizwa anathaminiwa thats why sheria laws na tamaduni zao zinamlinda.
Kuruhusu mwanamke atawale na kutembea nusu uchi sio empowerment ni kumshushia thaman yake na kumdhalilisha
Leta ushahidi wako kama unasema kweli.Unajua kua Bruney mwanamke hapigi kura mpaka leo? Hiyo ni haki kweli? Mwanamke anatakiwa kuazwa kwenye mazungumzo na sio yeye kuanza
Hijabu is a dress code to any woman plus visitors haaa ww jamaa
namba saba sijaipenda .... nikienda huko nitatafuna nini???Hiyo nchi safi sana, tatizo ni hiyo no9 tu basi.
Utatafuna big 'G'namba saba sijaipenda .... nikienda huko nitatafuna nini???
Kuna mdogo wake sultan alishawahi spend usd 750,000/day in one year..uzuri wao nchi nzima ni km familia tuWatakuja wamarekani na demokrasia yao hapo.
Mimi kwa upande wangu kilichoniudhi ktk nchi hiyo ni namba 6 na 7.Hiyo nchi safi sana, tatizo ni hiyo no9 tu basi.
Ahaa basi vizuri. Ila wasije anza Ku brainwashed kuwa hawaishi vizuri hivyo wabadili mfumo wa kiutawala.Kuna mdogo wake sultan alishawahi spend usd 750,000/day in one year..uzuri wao nchi nzima ni km familia tu
tena ukishikwa na demu wanapiga mawe, ukipiga hela wanakata kichwa jamani nchi zingine sio za kwenda kichwa kichwa.Unajua kua Bruney mwanamke hapigi kura mpaka leo? Hiyo ni haki kweli? Mwanamke anatakiwa kuazwa kwenye mazungumzo na sio yeye kuanza
Hijabu is a dress code to any woman plus visitors haaa ww jamaa
Preta !!!Kuna beach za kupata tan.......?....
Typographical error mkuuUwiano wa 1:209 ni mkubwa kivipi?
Uwiano mkubwa ni 1:1
Halafu, namba 8 "nchi pekee iliyopo northern and southern hemisphere" unaelewa umeandika nini? Ushawahi kutazama ramani ya dunia?
Lakini hajasema kwa vile mifugo hiyo haipo basi kitoweo hicho hakipo pia. Waweza kuta wana import mzigo wa kutosha kwa matumiziNo 7 ndo inanifanya nisiipende