Lisa Valentine
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 317
- 519
kucompete na mungu kivipi?,au ndo unaamini kuongelea haya mambo ni dhambi?.
Misri ilikua inatawala kipindi hicho mpaka caanan.
Pia wana achaelogia hawajawahi kupata hata fuvu moja la myahudi aliefia jangwani enzi wanatangatanga jangwani.hakuna ushahidi wowote wa kihistoria.
We Mkenya unajua nini kuhusu mafuvu? Leta mafuvu ya ancestors wako kwanza ili tujue kama kweli hukutokea somalia.