Msaada namna ya kutoa mimba bila kupata madhara kiafya

Kwa jinsi nilivyokusoma muanzisha mada hii, ni kwamba hauna tatizo lolote lile la kiafya ambalo linakutaka wewe kuitoa mimba hiyo ili kuokoa maisha yako.

Maana ninajua kama mimba yako ingekuwa na tatizo linalolazimisha kuitoa, Dr. angekuwa wa kwanza kukuambia inabidi aitoe hiyo mimba na angeitoa kabla hata hujafika hapa JF na kuomba ushauri. Ninachokiona kwako ni kwamba unataka KUUA.

At the moment mbegu ya baba inapokutana na yai la mama na kujifunga, inaanzisha uhai mpya, ambao tunaiita ni mimba. huu ni uhai, na kuutoa ni dhambi kwa Mungu alietuagiza tuisue na serikali pia inayokataza katika sheria zake kuua.

I beg you in the name of the Lord, usitoe Mimba, haujui tu ni raha kiasi gani kuwa na mtoto, Hebu jaribu kumzaa huyo uonje utamu wa mtoto, na baada ya hapo toa hicho kizazi chako ili usipate tena mimba itakayokutia majaribuni ya kumkosa Mungu wako.

Mungu akusaidie na kukusamehe.
 
mtafute matumla kwa namba hizi 0719 451519 akupige ngumi moja tu tumboni itatoka yenyewe tena huwa anafanyaga bure
 
damu hiyo italia mbele ya uzao wako na ndani ya maisha yako acha kabisa lea mimba hata kama umeipata bila kutarajia madhara ni mengi sana kuliko faida unayoitafuta
 
Unaonekana uko serious, na nikikushauru usitoe utaitoa anyway, ngoja nikushauri! Nenda hospitali kubwa kubwa mf muhimbili. Gharama ni kati ya elf 40 mpaka laki moja! Kule utapewa ushauri kama ni safe kuitoa au la tofauti na vi dispensary vya kinondoni wanapotoa bila kujali. Sijui sitiation unayoi-face, ila kama kuna hisia za ubinadam left in you, please don't do it!
 
Imagine wewe ungetolewa!!!!!! Mkuu, acha huyo kiumbe wa Mungu. Ukilima shamba, tarajia mavuno. Ndo huyo kiumbe, lea!!! Believe me, wako watu wanatafuta watoto kila kona ya dunia hii, kwa waganga, kanisani na misikitini wakiomba watoto... pleeesee!!!!don't do it.
 
Ilikuwa tarehe 13 ya mwezi huu hadi sasa hajapata mp yake imetokea kwa bahati mbaya,je inaweza kutoka kwa kirahisi mapema hii kabla hakijawa kiumbe kamili.Doctor ni njia gani nitumie ili kumnusuru wangu nimpendae?.NB.Kwa wale wanaopenda kujibu kwa matusi sihitaji ni bora wakaendelea na thread zingne na siyo KUNITUKANA.Pliz pliz matusi sitaki nataka USHAURI WAKO TU.ASANTENI
 
Ilikuwa tarehe 13 ya mwezi huu hadi sasa hajapata mp yake imetokea kwa bahati mbaya,je inaweza kutoka kwa kirahisi mapema hii kabla hakijawa kiumbe kamili.Doctor ni njia gani nitumie ili kumnusuru wangu nimpendae?.NB.Kwa wale wanaopenda kujibu kwa matusi sihitaji ni bora wakaendelea na thread zingne na siyo KUNITUKANA.Pliz pliz matusi sitaki nataka USHAURI WAKO TU.ASANTENI

@Mchumipesa ni mapema kuthibitisha kuwa ni mjamzito. Katika bandiko lako hujaeleza kama huo ujauzito umemletea mathara yanayohatarisha maisha yake hivyo kama wewe unamwamini MUNGU na una hofu ya MUNGU ikiwezekana pamoja na kufuta roho ya mauaji kichwani mwako hata hili bandiko uliondoe
 
Ilikuwa tarehe 13 ya mwezi huu hadi sasa hajapata mp yake imetokea kwa bahati mbaya,je inaweza kutoka kwa kirahisi mapema hii kabla hakijawa kiumbe kamili.Doctor ni njia gani nitumie ili kumnusuru wangu nimpendae?.NB.Kwa wale wanaopenda kujibu kwa matusi sihitaji ni bora wakaendelea na thread zingne na siyo KUNITUKANA.Pliz pliz matusi sitaki nataka USHAURI WAKO TU.ASANTENI


Naamini na nina imani kuwa unajua na una uelewa wa madhara na matokeo ya kutoa mimba
Sijui kama umethibitisha au umehakikisha kuwa ni mimba kweli
Na hujasema ni kwa nini huyo dada hayuko tayari kupata mimba kwa sasa
Ushauri wangu kama haimletei madhara ya aina yoyote na kama ana uwezo wa kuilea mimba hiyo mpaka ajifungue hata kama matarajio yako sio kuwa na mtoto kwa sasa naomba aendelee na hiyo mimba
madhara ya kuitoa kwako ni makubwa kuliko kuiacha
Naamini unamwamini Mungu na iwapo utakuja kumuoa huyo dada naamini hiyo dhambi haitakutoka ya kuwa mlishaua kiumbe hata kama ni kile ambacho hakijafikia kuitwa kiumbe
 
raha ya kulima shamba na kulipanda ni upate mavuno, sasa unavuna ulicho panda! usiende kutoa mimba na wala usimshinikize kutoa mimba kwani nyie ni watu wazma mnajua jema na baya ulitakiwa kuchukua tahadhari mapema sasa subiria mavuno.

huwezi jua mungu amewaandika watoto wangapi kama ni huyohuyo moja utafanyaje ukimtoa.....
 
raha ya kulima shamba na kulipanda ni upate mavuno, sasa unavuna ulicho panda! usiende kutoa mimba na wala usimshinikize kutoa mimba kwani nyie ni watu wazma mnajua jema na baya ulitakiwa kuchukua tahadhari mapema sasa subiria mavuno.

huwezi jua mungu amewaandika watoto wangapi kama ni huyohuyo moja utafanyaje ukimtoa.....

Good idea!
 
Naamini na nina imani kuwa unajua na una uelewa wa madhara na matokeo ya kutoa mimba
Sijui kama umethibitisha au umehakikisha kuwa ni mimba kweli
Na hujasema ni kwa nini huyo dada hayuko tayari kupata mimba kwa sasa
Ushauri wangu kama haimletei madhara ya aina yoyote na kama ana uwezo wa kuilea mimba hiyo mpaka ajifungue hata kama matarajio yako sio kuwa na mtoto kwa sasa naomba aendelee na hiyo mimba
madhara ya kuitoa kwako ni makubwa kuliko kuiacha
Naamini unamwamini Mungu na iwapo utakuja kumuoa huyo dada naamini hiyo dhambi haitakutoka ya kuwa mlishaua kiumbe hata kama ni kile ambacho hakijafikia kuitwa kiumbe

Thankx bro.
 
Mzee, ulishawahi kumuona bata anatetea?? Akili ya bata hupimwa na jinsi anavyoongoza watoto wake. Nawapenda watoto
 
Makamanda unajua imetokea gafla xana na economically niko hoi!,posa siwez toa kwa sasa maana nafukuzia kazi na bado cjajipanga fresh ki life na yeye ndo kamaliza chuo kikuu.Pia heshima kwao yan kwa mama mkwe itatoweka,je cha zaidi nifanyeje ili japo nifunge harusi hata ya ki magubegube ili nilipangue hili balaa zaidi ya kutoa mimba?Unajua hata mim inaniuma kumtolea mimba maana hata mie umri unakwenda sasa nifanyeje?
 
Back
Top Bottom