Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Freedom is coming soon.Mambo gani yanakaribia mwisho?
Freedom is coming soon.Mambo gani yanakaribia mwisho?
Mkiambiwa mnapenda mahesabu lakini hamjui number wewe ukiesabu nisiku moja kweli ukiwa ccm ni hasara
So what, anagoma kula mwenyewe halafu analalamika?Yupo kwenye hunger strike, hii njia huwa inatumika na maaabusu au wafungwa ambao wanahisi hawajatendewa haki.
Janja gani usinilishe maneno weweSasa kamanda aache janja yake. Yeye ale tu awe na nguvu ili 01/09 aongoze mapambano
Mwanahabari huru umenichekesha sana aiseeHuo ni usani wa lumumba mkiwa mepiga kitwanga
Alikwambia weweSi alisema ameshajiandaa kulala rupango?
yaani kula akatae kula mwenyewe unasema ameteswa??kama ana malalamiko si ana mwanasheria alishindwa kumtumia mwanasheria wake kupeleka malalamiko mahakamani,tena mtu mwenyewe ni mbunge mtungaji sheria lakini yeye ndo anashindwa kufuata sheria halafu mnasema anateswa??unajua kuteswa wewe??Mateso yana mwisho.
Habari zilizotufikia Dawati letu la habari kutokea jijini Arusha.
Zinasema Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless J. Lema Hali yake ya Afya siyo nzuri baada ya kugoma kula chakula tokea akamatwe jana alfajiri. Hayo yanatokea yeye anapopinga kukamatwa kwani anasema amedhalilishwa na si haki kukamatwa na kwanini polisi hawataki kumpa dhamani ilihali ni haki yake.
Tunaendelea kufwatilia tutawajuza kinachoendelea
View attachment 388733
Aliuambia umma kupitia ile clip yakichochezi...kumbe hukumsikiliza?Alikwambia wewe
Mbona alishazoea kudhalilishwa leo anakujaje na stori ya kugoma kula? Si alishakiwa na mshirika kule rumande majuzijuzi! Ye ale tu bana, tumuone mtaani Sept 1, ha ha ha ha, hii inanikumbusha wimbo wa M.V mapenzi no ll.Tatizo sio kutopewa dhamana Bali 'kuzalilishwa'
Read on between the line