Foleni za magari ni maisha bora - Kikwete

Hivi kuna fungu lolote limetengwa kwenye budget iliyopitishwa hivi karibuni kwa ajili ya hizo fly overs? Kama haipo hizo hela watazitoa wapi?

Halafu watu wanapiga makofi meno yote nje...!!!

Ama kweli SIKIO LA KUFA......

Majuha wengi tu!Wakiwa kwenye uniform ya kijani akili zote zinakuwa za watoto.Wewe waambie tu chochote makofi na vigelegele utapata tu!
 
I am completely frustrated with the way Vyama Vya Upinzani have allowed Kikwete to get away with these gaffes. A week ago, President Kikwete said that he is going to deal Kimya Kimya with trouble-makers, and surprisingly opposition parties remain numb.

I am wondering if these parties are serious on winning the election, let alone removing CCM from power. They should seize the moment and use these gaffes to their advantage by showing how flawed president Kikwete’s arguments are.

Frankly speaking, if Vyama vya Upinzani are not going to rebut CCM’s innuendos then they should expect to be loose miserably in November elections! Politics is all about using your rival’s mistake to your advantage ….


Excellent observation Rufiji. You can say that again and again!
 
Namshauri JK aboreshe uteuzi wake kwa kuangalia watu wenye akili nzuri. matatizo ya watanzania yatapungua, traffic jamms zitapungua, mikataba mibovu itapungua, tofauti kati ya wenye nacho na wasio nacho itapungua na mipango mzuri inayotekelezeka itakuwepo.
Umasikini wa Tz siyo mali bali ni akili!
Kusoma zaidi hakuongezi akili bali kunoa akili iliyopo kichwani.
Punguza wanaoitwa wasomi wengi kuanzia Phd za kukariri, ufanisi hakuna, ushauri kwake zero!
Serikali zilizopita, wanaojiita wasomi walikuwa wachache lakini ufanisi ulionekana zaidi.

Ina maana hao aliowateua kwa sasa hawana akili nzuri? Na kama hawana akili nzuri kwanini aliwateua?
 
Mie nahisi IQ ya jamaa iko chini tena kadri siku zinavyozidi kwenda inazidi kushuka sana yaani inakuwa kama betry ya simu kadri utumiavyo ndo inavyozidi kwisha sasa ndo IQ ya huyu jamaa kwa sasa itakuwa imebaki na bar moja hivi..sijui awamu ya pili ndo itakuwaje.
 
Yawezekana kuwa mlundikano katika mahospitali ya Temeke na Mwananyamala nayo ni dalili ya maisha bora? Kwa sababu watu wengi wana uwezo wa kwenda hospitali sasa na wana hela ya kumudu gharama zake?
 
Hatuna mazoea ya kupeana kazi, achilia mbali uongozi, hata kazi za kawaida tu kwa misingi ya uwezo. Tunatunmia mfumo wa viujumbe, na kujuana na undugu na zamu zamu.

Na ndio utamaduni uliozaa Kikwete.

Safi sana mkuu,hapa umefunga mjadala!Matatizo karibu yote yanaanzia hapa.
 
Msimuonee wivu mwenzenu. Kajitahidi kawaletea foleni ya magari na nyie bado mwachonga.

Mwanakiji, hao wanazalia chini ya sakafu ni kweli kuwa wamepata maendeleo.

Wengine tulizaliwa chini ya vivuli vya miti ya Ukwaju (Msisi) kama siyo Mizambarawe iliyo kibao hapa Sikonge.

Hii inanikumbusha jamaa wawili wakiongea:
Jamaa 1: Aisee, jana nimelala na NJAA.
Jamaa 2: Heri yako wewe maana mie nililala PEKE YANGU.
 
WaTz bwana sasa huyu jamaa karopoka na jamaa wakapiga makofi, sijaua watz tutaamka lini tuachane na kutojua kwetu na kufumbuka macho!
 
Mie nahisi IQ ya jamaa iko chini tena kadri siku zinavyozidi kwenda inazidi kushuka sana yaani inakuwa kama betry ya simu kadri utumiavyo ndo inavyozidi kwisha sasa ndo IQ ya huyu jamaa kwa sasa itakuwa imebaki na bar moja hivi..sijui awamu ya pili ndo itakuwaje.
Aliye sema hivyo ni Dr, chuo kimojaa kenya, na cha Utruruki, pamoja na kingine cha USA, kwa hiyo IQ yake itakuwa ya ki-dokta dokta
 
Yeah JK anaweza kuwa kilaza lakini mbona hakuna mtu wa kumshinda,na kila mtu humu anajua JK 100% will win for a second term na siamini kama anahitaji any foul to win,kama kweli JK ni kilaza basi voters ni zaidi so they deserve one another
 
Yeah JK anaweza kuwa kilaza lakini mbona hakuna mtu wa kumshinda,na kila mtu humu anajua JK 100% will win for a second term na siamini kama anahitaji any foul to win,kama kweli JK ni kilaza basi voters ni zaidi so they deserve one another

Kweli kabisa uliyosema! Na Mzee Es aka FMES alimaliza kila kitu kwa maneno haya - "viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe wananchi".

Mtu aliye kilaza ushindi wake ni foregone conclusion....hii inasema mengi sana kuhusu sisi wananchi. Vilaza do as vilaza does!

Jiulize, kilaza atashindaje bila kuungwa mkono na vilaza wenzake wengi? Ni swali la mantiki ya msingi tu....
 
Ukitaka kujua kama kuwa na magari mengi Dar ni dalili ya watu kuendelea waulize makondakta wa daladala. Hawaishi kuwatukana madreva wenye magari madogo barabarani kwa kuwaambia kwamba wanaringia magari ya mikopo tu! Ni wazi, magari mengi Dar hayatokani na maendeleo ya watu bali mikopo toka kwenye mabenki na maofisini.
 
I am completely frustrated with the way Vyama Vya Upinzani have allowed Kikwete to get away with these gaffes. A week ago, President Kikwete said that he is going to deal Kimya Kimya with trouble-makers, and surprisingly opposition parties remain numb.

I am wondering if these parties are serious on winning the election, let alone removing CCM from power. They should seize the moment and use these gaffes to their advantage by showing how flawed president Kikwete’s arguments are.

Frankly speaking, if Vyama vya Upinzani are not going to rebut CCM’s innuendos then they should expect to be loose miserably in November elections! Politics is all about using your rival’s mistake to your advantage ….

...wewe kwa bongo gaffe halishindi kura,ukitaka kushinda bongo ni madebe ya pombe,kanga,udini,ukabila,wizi wa kura,pilau,pesa na uwongo,hapo utazoa kura utakavyo na ukumbuke wengi wakikupigia kura wanajua wanakupa ulaji tuu na hawategemei ufanye kazi yeyote
 
Yeah JK anaweza kuwa kilaza lakini mbona hakuna mtu wa kumshinda,na kila mtu humu anajua JK 100% will win for a second term na siamini kama anahitaji any foul to win,kama kweli JK ni kilaza basi voters ni zaidi so they deserve one another

...wewe kwa bongo gaffe halishindi kura,ukitaka kushinda bongo ni madebe ya pombe,kanga,udini,ukabila,wizi wa kura,pilau,pesa na uwongo,hapo utazoa kura utakavyo na ukumbuke wengi wakikupigia kura wanajua wanakupa ulaji tuu na hawategemei ufanye kazi yeyote

Duuhh Mukubwa naona umeamua kuua kabisa aisee...................
 
Back
Top Bottom