FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

BlackPanther Jaqline Cossovoman Monasha Good96 Ibrah404 Aleyn Chebi Red Giant otterhound mpo wapi BARCELONA TUNACHINJA HUKU

Tupo mkuu, mechi ya leo umeionaje lakini without messi? kidogo imepoza, also we did not play well enough, si-unajua tena King akikosekana mchezo kidogo unachenj, hata zile ticktaka hazionekani kabsaa.... anyway congrats kwa 3 points and 5 gols safi sana,
 
Tupo mkuu, mechi ya leo umeionaje lakini without messi? kidogo imepoza, also we did not play well enough, si-unajua tena King akikosekana mchezo kidogo unachenj, hata zile ticktaka hazionekani kabsaa.... anyway congrats kwa 3 points and 5 gols safi sana,
ni kweli mechi imepooza haikuwa na shamrashamra kama tulivyozoea hata ushindi wa 5:0 haujawa habar ya dunia kama anavyokuwepogi MESSI ila nafikir inabd tuzoee kwani itafika wakat KING hatokuwepo BARCA japo itakuwa ni siku mbaya ila tutakuwa hatuna budi
 
ni kweli mechi imepooza haikuwa na shamrashamra kama tulivyozoea hata ushindi wa 5:0 haujawa habar ya dunia kama anavyokuwepogi MESSI ila nafikir inabd tuzoee kwani itafika wakat KING hatokuwepo BARCA japo itakuwa ni siku mbaya ila tutakuwa hatuna budi

Nikweli mkuu inabidi tuzoee tu..no way
 
  • Thanks
Reactions: PNC
1474756926071.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom