Naomba ushauri: Nataka kuwa na "dreadlocks" ila nahofia kutopata ajira

Apollo

JF-Expert Member
May 26, 2011
4,920
3,221
Habari wana JamiiForums,

Hapa ninaamini nitapata mawazo mazuri watakayoniongoza vizuri. Mimi ni mwanaume, Ninahitaji advice zenu ndugu zangu. Nadhani mnafahamu dread hair style. Ni staili ambayo mimi ninaipenda sana na ninatamani niwe nayo lakini hivi sasa nina nywele ndefu kidogo, ninafikiria nizifanye dreads but napenda dreads original or natural dreadlocks kama za marley but sio hivi vyembamba vya kujisokota kama za chege (zinazokuwa nyembamba sana). Mimi ninategemea kuanza chuo mwaka huu kuchukua degree.

Sikupenda kuwa na dreads shule coz hairuhusiwi but chuoni ninaamini ninaweza kuwa nazo. Tatizo ni kuwa...jamii au hapa kwetu Tanzania rasta zinaonekana kama za wavuta bangi na wauni! Kitu ambacho sio kweli.

Wasiwasi wangu ninaogopa kukosa kazi nikimaliza chuo kwani nimefuatilia ninasikia serikalini hairuhusiwi. Hii si haki kwani dreads ni asili ya mwafrika na tungekuza utamaduni wetu. Tena kihistoria wamasai ndio kabila duniani linalofahamika kwa kuwa na dreads toka zamani sema zilikuwa nyembamba, hii ni sehemu ya utamaduni wa kiafrika.

Nasikitika kuwa wenye rasta hawakai maofisini wapo katika sanaa sana. Lakini mf Alan Lucky wa chanel five anazo za kistaarab na bado anaonekana mtanashati. Nahitaji ushauri, je nifuge or niache? And nikifuga nitasumbuliwa katika jamii inayonizunguka or they'll consider it kama style tu na sio uhuni?
 
Sahihisho....wamasai hawafugi dread bali wanasuka nywele zao. Na ni wanaume pekee sio wanawake
kukumbusha. Bob Marley yule ni mchanganyiko wa mzungu na Mwafrika. Usitegemee nywele zako za kimatumbi zitakuwa kama za Bob, labda uwe na nywele za kisomali....he he he
 
Sahihisho....wamasai hawafugi dread bali wanasuka nywele zao. Na ni wanaume pekee sio wanawake
kukumbusha. Bob Marley yule ni mchanganyiko wa mzungu na Mwafrika. Usitegemee nywele zako za kimatumbi zitakuwa kama za Bob, labda uwe na nywele za kisomali....he he he

Heheheheee. kuhusu wamasai ni kweli but kuna dreads za kusuka na za kutokea naturaly..na ukisoma historia ya dreads wamesema wamasai pia ni mojawapo ya kabila lilikuwa linasuka dreads kwa morani toka mababu. Kuhusu marley..hata mimi ni mchanganyiko..nina nywele kama zake naturaly! Ninahitaji kujua kuna madhara gani katika jamii inayonizunguka.
 
Kila kitu na mahala pake na wakati wake. Kama unaenda chuo kusoma ni free style so long as kichwani utakuwa nazo na utapasua mitihani. Kama unaenda kuajiliwa bank-nadhani utapata vikwazo kwa hilo. Kama utakuwa kiongozi wa dini,kila muumini atakukimbia. Kama uta deal na entertainment industry kama mrisho mpoto,au yule Dereck aliyekuwa Egoli na aliopo kwenye jackobs cross,its ok kwani zinampendeza kwa fani yake. Its all about you and your Emotion Bank Account(EBA).
 
Inategemea ni nani employer wako, na uko ktk industry gani na una-hold position gani. In corporate America itabidi usahau mambo ya dreads, tatoo, or piercing sababu unatakiwa uwe clean, elegant and clean cut.
 
Kila kitu na mahala pake na wakati wake. Kama unaenda chuo kusoma ni free style so long as kichwani utakuwa nazo na utapasua mitihani. Kama unaenda kuajiliwa bank-nadhani utapata vikwazo kwa hilo. Kama utakuwa kiongozi wa dini,kila muumini atakukimbia. Kama uta deal na entertainment industry kama mrisho mpoto,au yule Dereck aliyekuwa Egoli na aliopo kwenye jackobs cross,its ok kwani zinampendeza kwa fani yake. Its all about you and your Emotion Bank Account(EBA).
Thanx mkuu, kimasomo nipo fresh na sitegemei kuchukua biashara. Nipo ktk geography and environment sturdies, development planning , archeology na heridit management.
 
Dread Natty Dread now! a dreadlock bingy bongo i
Children get you culture, and dont stare there and gesture!
Coz the battle will be hotter!!
Natty dread now!!

Mxiiiiiiiiiiiiiii Bob huyoooooo akiimba Natty dread! Kijana mwenzio mpaka leo nahusudu sana kuwa na dreadlocks. wakati nasoma secondary nilikuwa nasokota usiku asubuhi nachana nywele maana mzee wangu angeniona ingekuwa balaa, nikaishia kunyoa punk moja matata mnoo. sasa hivi siwezi tena maana mke wangu atakimbia nyumba maana akiona tu mtu kasokota utasikia mwenda wazimu yule hahahahahaha... so sokota KAMANDA!

ROOTS natty Roots!! DREAD BINGY DREAD, i and i got a ROOTS hahahahahaah ABTICHAZ upo wapi kamanda????
 
Mi nadhani tatizo ni mitazamo ya jamii inayokuzunguka na katabia kalikojitokeza vijana wengi wanahusisha rasta na bangi na ndio maana hata taasisi wana-conclude kuwa yeyote mwenye rasta ni muhuni. Nafanya kazi kwenye international organization nafanya kazi na watu wenye dreads tuna-attend meetings with government officials hakuna problem.
 
Inategemea ni nani employer wako, na uko ktk industry gani na una-hold position gani. In corporate America itabidi usahau mambo ya dreads, tatoo, piercing sababu unatakiwa uwe clean cut.
Nipo katika nipo ktk geography and environment sturdies, development planning , archeology na heridit management. Nasubiri moja ya hapo nichaguliwe..then nikimaliza degree ya kwanza nipige course ya utalii.
 
Mi nadhani tatizo ni mitazamo ya jamii inayokuzunguka na katabia kalikojitokeza vijana wengi wanahusisha rasta na bangi na ndio maana hata taasisi wana-conclude kuwa yeyote mwenye rasta ni muhuni. Nafanya kazi kwenye international organization nafanya kazi na watu wenye dreads tuna-attend meetings with government officials hakuna problem.
Thanx kwa ripoti yako..imenipa moyo sana. Thanx a'lot. :)
 
Dread Natty Dread now! a dreadlock bingy bongo i
Children get you culture, and dont stare there and gesture!
Coz the battle will be hotter!!
Natty dread now!!

Mxiiiiiiiiiiiiiii Bob huyoooooo akiimba Natty dread! Kijana mwenzio mpaka leo nahusudu sana kuwa na dreadlocks. wakati nasoma secondary nilikuwa nasokota usiku asubuhi nachana nywele maana mzee wangu angeniona ingekuwa balaa, nikaishia kunyoa punk moja matata mnoo. sasa hivi siwezi tena maana mke wangu atakimbia nyumba maana akiona tu mtu kasokota utasikia mwenda wazimu yule hahahahahaha... so sokota KAMANDA!
ROOTS natty Roots!, i and i got a ROOTS hahahahahaah ABTICHAZ upo wapi kamanda?

Hahahahahaha! Thanx man! Duh! Mkeo mlokole nini! Its a joke.. Mi nipo dar. Nipo na mom, naye anakubali coz ananijua mimi ni mstaarabu na siwezi kuwa muhuni. Nipo Dsm! :)
 
Hehehe, weka basi walau ka-avatar jamani, kha!

Well, dreadz na ugali wa shkamoo haviendani. hebu soma kwanza,ujijenge kwenye ulimwengu wa kitaalamu ndipo uamue nini cha kufanya na muonekano wako. ila kwa sasa, trust me muonekano wako unakuuza zaidi. na isitoshe hata ukipata sup ama kufeli utaambiwa ni shauri ya dreadz. na kuwa na dreadz inaweza kuku-identify zaidi so unaweza hata kuwa victimised pia!

2nd, ww kama kijana ukiona dadako ama mdogo wako analeta mchumba ana dreadz na maybe hereni, je unaweza kuwa comfortable kabisa kuwa kijana huyu anaweza kumtunza na kumpenda dadako maisha yao yote?

nakushauri umalize shule,ujijengee heshima kwanza kwenye ulimwengu wa wataalamu na baadae utauza whatever u wanna say rather than the looks. lakini kwa mwanaume kuwa na dreadz utakutana na challenges zaidi ya ur female counterparts

mimi ni mwanaume..inabidi jamii forum iweke alama ya utambulisho wa jinsia.. Hehehe :)
 
Mimi nafanya kazi serikalini, i have dread locks and i face no challenge. ni zile za kawaida tu za watu wanaotaka kum-treat kila mtu kama mtoto wao na kumchagulia kuweka kemikali! ila kwa mwanaume sijui kama atakukubalika kirahisi. by the way, kwani lazma akafanye kazi serikalini bwanaa?

Mi nadhani tatizo ni mitazamo ya jamii inayokuzunguka na katabia kalikojitokeza vijana wengi wanahusisha rasta na bangi na ndio maana hata taasisi wana-conclude kuwa yeyote mwenye rasta ni muhuni. Nafanya kazi kwenye international organization nafanya kazi na watu wenye dreads tuna-attend meetings with government officials hakuna problem.
 
Back
Top Bottom