WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
@gm,
GM na Wakuu wengine
Pamoja na kwamba hii ni nje ya mada..kuna kitu huwa kinanitatiza... hivi Nyerere ndiye alileta uhuru au "Uhuru" huo was inevitable kuja kipindi kile ( many countries got independence in 1960s ukiachilia mbali Ghana (1957), Guinea (1958) - Chad, Benin, Nigeria, Ivory Coast, Madagascar, Central African Republic, Mali, Niger, Senegal, Burkina Faso, Mauritania, Togo, Zaire, Somalia, Congo, Gabon, Cameroon zote zilipata uhuru in 1960, Tanzania 1961,Algeria, Burundi, Rwanda, Uganda 1962,Kenya 1963, Malawi, Zambia 1964, Gambia 1965,Botswana, Lesotho 1966,Equatorial Guinea, Mauritius, Swaziland 1967...Equatorial Guinea, Mauritius, Swaziland 1968)
Nadhani ilikuwepo a wind of change iliyopelekea wakoloni waondoke ukizingatia kuwa ..it was no longer profitable kunyonya with physical presence. Unyanyaji ulikuwa na faidi zaidi kwa kutoa uhuru wa bendera na kuendelea kunyonya thru ukoloni mamboleo.
Swali.. ni kwanini bado tunaendelea kufagilia sana hili la kuleta uhuru na tusiseme tu kuwa Nyerere ndiye alichukua madaraka kutoka kwa wakoloni na kuasisisi utawala wa waafrika Tanzania huru? na baada ya hapo akaanza ku experiment different things including utopian socialism na ujamaa... sijui ndo
African Socialism... hadi kusababisha maafa ya huyu mkereketwa wa Ujamaa - Dr Kleruu.
GM na Wakuu wengine
Pamoja na kwamba hii ni nje ya mada..kuna kitu huwa kinanitatiza... hivi Nyerere ndiye alileta uhuru au "Uhuru" huo was inevitable kuja kipindi kile ( many countries got independence in 1960s ukiachilia mbali Ghana (1957), Guinea (1958) - Chad, Benin, Nigeria, Ivory Coast, Madagascar, Central African Republic, Mali, Niger, Senegal, Burkina Faso, Mauritania, Togo, Zaire, Somalia, Congo, Gabon, Cameroon zote zilipata uhuru in 1960, Tanzania 1961,Algeria, Burundi, Rwanda, Uganda 1962,Kenya 1963, Malawi, Zambia 1964, Gambia 1965,Botswana, Lesotho 1966,Equatorial Guinea, Mauritius, Swaziland 1967...Equatorial Guinea, Mauritius, Swaziland 1968)
Nadhani ilikuwepo a wind of change iliyopelekea wakoloni waondoke ukizingatia kuwa ..it was no longer profitable kunyonya with physical presence. Unyanyaji ulikuwa na faidi zaidi kwa kutoa uhuru wa bendera na kuendelea kunyonya thru ukoloni mamboleo.
Swali.. ni kwanini bado tunaendelea kufagilia sana hili la kuleta uhuru na tusiseme tu kuwa Nyerere ndiye alichukua madaraka kutoka kwa wakoloni na kuasisisi utawala wa waafrika Tanzania huru? na baada ya hapo akaanza ku experiment different things including utopian socialism na ujamaa... sijui ndo
African Socialism... hadi kusababisha maafa ya huyu mkereketwa wa Ujamaa - Dr Kleruu.