Robert edo
Member
- Mar 9, 2015
- 44
- 5
Anatokwa na ute wenye rangi kama njano hivi kwenye uume na ute huo hauna tofauti na shahawa.
Na hutoka kidogo kidogo Mara kwa mara na wakati wa kukojoa huambatana muwasho na maumivu kiasi.
Tatizo litakuwa ni nini.
Msaada Tafadhali.
Na hutoka kidogo kidogo Mara kwa mara na wakati wa kukojoa huambatana muwasho na maumivu kiasi.
Tatizo litakuwa ni nini.
Msaada Tafadhali.