Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Mkuu tujuze tu kulikoni karudishwa mapema?maana anaonekana dhahiri yu mgonjwa sana! kuhusu report angeisoma tu maana apparently hachomoki! na mtu hafi mara mbili
Mwakyembe kapewa sumu ..tena sumu kali...kurudishwa kwake huku ni kwamba hakuna uwezekano wa kupona na hivyo hakuna haja ya kuendelea na madibabu ghali huko..amepewa dawa za kutuliza maumivu tu lakini visigino na sehemu za kucha zinamuuma sana maana kunapasuka .....na hili limechezwa vizuri sana na wahusika wakuu wa mpango huu ili arudi.......