THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Msije mkatusingizia watu wa monduli.Mwakyembe keshajifia, kosa kubwa atakalofanya ni kutotoa ripoti hadharani kama alivyoficha baadhi ya mambo ya Richmond ambayo hata leo akiyatoa hakuna atakayeyaamini kwa asilimia mia. Aseme kitu gani kinamsumbua, anahusika, na kwanini kafanyiwa hivyo. La sivyo tutaishia kuwa na story za akina Balali tu.