Huu ni ****** na uzandiki mwingine wa mafisadi kupitia gazeti "lao" hili. Kama waraka huo umesambazwa kwa ndugu na jamaa na wananchi vipi uwe siri ya kutouanika na kutotaja undani wa waraka huo. Mwenyewe katoa tamko lake kwa maandishi moja kwa moja kwa vyombo vya habari vyote ili visimung'unye maneno au kupindisha - vipi leo chombo hiki kijifanye kinajua zaidi ya wanavyojua wengi - acheni kufanya biashara au kucheza siasa kwa mgongo wa afya za watu.