Unazikabili vipi changamoto za choo cha kukaa?

Choo
Hivi ni choo gani bora kati ya vile vya kukaa na kuchuchumaa?

Binafsi naona vya kuchuchumaa ni bora na kiasi fulani ni hygenic hasa kwa mazingira ya sehemu za jamii kama mashule,vyuo,ofisi na hata familia zenye watu wengi.

je kuna sababu yeyote ya watu kupendezewa zaidi kuweka vyoo vya kukaa?

Nawasilisha kwa mjadala.

Inategemea unataka kuteremsha mzigo wa aina gani. Vimimina au yabisi? Kama ni yabisi mfano mihogo ya kuchemshwa bila nazi, maboga ya kuchoma, na viazi vikuu vilivyosindikizwa na asali, chipsi dume bila chachandu wala kilimanjaro/dasani, ITAKUBIDI utumie choo cha AWILO aka kata muwa (mchuchumao) huku ukiwa umeshikiria ukuta na kusaga meno ili kukusanya nguvu na kuhimili maumivu. Kama mzigo wako ni vimiminika mfano uji wa bamia, kitimoto kilichoiva nusu, mbege na wanzuki uliochakachuliwa na ulanzi, viepe yai vlivyokaangwa kwa mafuta ya transforma na kufungiwa kwenye front page ya Kubenea, ITAKUBIDI utumie choo cha HIGH SPEED aka kong'oli aka cha kukaa
 
Inategemea unataka kuteremsha mzigo wa aina gani. Vimimina au yabisi? Kama ni yabisi mfano mihogo ya kuchemshwa bila nazi, maboga ya kuchoma, na viazi vikuu vilivyosindikizwa na asali, chipsi dume bila chachandu wala kilimanjaro/dasani, ITAKUBIDI utumie choo cha AWILO aka kata muwa (mchuchumao) huku ukiwa umeshikiria ukuta na kusaga meno ili kukusanya nguvu na kuhimili maumivu. Kama mzigo wako ni vimiminika mfano uji wa bamia, kitimoto kilichoiva nusu, mbege na wanzuki uliochakachuliwa na ulanzi, viepe yai vlivyokaangwa kwa mafuta ya transforma na kufungiwa kwenye front page ya Kubenea, ITAKUBIDI utumie choo cha HIGH SPEED aka kong'oli aka cha kukaa
Duh! Nimecheka, basi tu! Hongera kwa ufafanuzi mkuu. Loh!
 
Nafikiri mngetufafanunulia zaidi- 1. Cha kukaa cha shimo au cha kuflash? 2. Cha kuchuchuma cha shimo au cha kuflash. Kule kwetu kijijini vilivyo common zaid ni hivi vya kuchucumaa vya shimo ambavyo huwa na usumbufu wake kidogo, ukikuta kimejaa inabidi uwe fundi wa kupiga skwati yaani kuchuchumaa na kuinuka pindi unapoachia mzigo maana kuna uwezekano mkubwa wa maji kukurukia looool nakumbuka mbali sana jamani.
 
Nafikiri mngetufafanunulia zaidi- 1. Cha kukaa cha shimo au cha kuflash? 2. Cha kuchuchuma cha shimo au cha kuflash. Kule kwetu kijijini vilivyo common zaid ni hivi vya kuchucumaa vya shimo ambavyo huwa na usumbufu wake kidogo, ukikuta kimejaa inabidi uwe fundi wa kupiga skwati yaani kuchuchumaa na kuinuka pindi unapoachia mzigo maana kuna uwezekano mkubwa wa maji kukurukia looool nakumbuka mbali sana jamani.

Nazani mtoa mada alikuwa anamaanisha cha kuchuchumaa bila flush, kile chenye kitundu kidogo kinacholazimisha mtumiaji awe na shabaha kama aliyonayo tiger woods....mara walevi hukosa shabaha na kusababisha "friendly fire". Vyoo vya aina hii mara nyingi vinatumiwa na snipers.
 
Niliwahi kwenda Asia kwenye training fulani. Katika Hotel ya 3-star tulipangiwa watu wawili wawili kwenye room moja, japo kila mmoja alikuwa na kitanda chake (Twin Room). Of course ilikuwa ni hotel nzuri sana na huwezi kudhani kama ni 3-star, haraka haraka unaweza kusema ni 4-star.

Mimi nilipangiwa kukaa na jamaa mmoja wa Mauritius, na ilikuwa ni bahati kwamba wote ni waafrika wastaarabu. Utata ulikuja wakati wa kutumia choo cha kukalia. Changamoto niliyoipata inabidi tufahamishane hapa; hivi wengine huwa mnamudu vipi kutumia choo cha kukalia? Nadhani swali langu limeeleweka.

attachment.php
 
mbona ulivyokuwa mdogo ulikuwa unajisaidia kwenye pot ... sasa umekua unajifanya mjanja
museme na age zenu wengine miaka tuliyo kuwa wadogo hizo pot hazipo hapa bongo ,mpango mzima ni kama hivi panachimbwa-unashusha zege -panafukiwa habari kwisha!
 
Hakuna kitu sikipendi kama Choo cha kukaa..NI vema kitumike kwa Mke na Mume.UKIANZA KUNYA MAJI YANAKURUKIA MATAKONI bila ridhaa Yako

.............mie hutumia papers nyingi sana ! kwanza napanga papers ktk shimo, kisha sehemu ya kukalia, halafu naendelea. However naenjoy sana cha kuchuchumaa !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom