VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni kizaazaa.
Katika Barabara ya Morogoro sehemu ya Kongowe hadi Misugusugu. Kuna foleni ya ajabu sana. Inasababishwa na ukaguzi wa TRA kwa malosi eneo la Misugusugu.
Magari yanalazimika kupita barabara mbovu ya zamani. Basi la BM lililotoka Dar kwenda Moro saa 12 limekwama.
Nusura lipinduke kwa kuingia korongoni. Ni hatari.
Nipo hapahapa kuelekea nyumbani..
Katika Barabara ya Morogoro sehemu ya Kongowe hadi Misugusugu. Kuna foleni ya ajabu sana. Inasababishwa na ukaguzi wa TRA kwa malosi eneo la Misugusugu.
Magari yanalazimika kupita barabara mbovu ya zamani. Basi la BM lililotoka Dar kwenda Moro saa 12 limekwama.
Nusura lipinduke kwa kuingia korongoni. Ni hatari.
Nipo hapahapa kuelekea nyumbani..