de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 1,397
- 2,904
He's got masters degree in uchawa!He knows how to do it!! 🤣 Atatoboaa…
Ni suala la muda tu.
aendelee kupambana time will tell!🤣
He's got masters degree in uchawa!He knows how to do it!! 🤣 Atatoboaa…
Ni suala la muda tu.
Tulieni dawa iwaingie mbu nyie acha awanyoroshe huyo ndiyo kiboko yenu
Ha ha 🤣😂, Bashite kachukua sindano ya sumu kaamua kujichoma yeye mwenyewe.Tulieni dawa iwaingie mbu nyie acha awanyoroshe huyo ndiyo kiboko yenu
Allahu Akbar....!!???!!!!Takbiiiiiiiirrrr !!!
Hapo alifeli,amefeli,na akiendelea nae atazidi kufeli Hilo halina ubishi,Liko wazi,may be aliona ampe second chance but habebeki...Umeangalia matokeo? GT anaangalia chanzo. Lakini Je, unao uthubutu wa kumsema dada katika imani? Huyo ndio tatizo kwa sababu Gwajima alishamvua nguo nje ndani, na hafai kweli, ajabu dada yako kamteua.
Sasa hapo tatizo la akili ndogo ni nani? Makonda asingeweza kukataa uteuzi hata kama anajijua ni chenga
🤣🤣🤣 mambo yameanza kuivaTakbiiiiiiiirrrr !!!
Ndugu zangu Watanzania,
Kama kawaida ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni mtu wa kuteka hadhira, ni mtu wa kuteka mijadala, ni mtu wa kuondoka na point tatu na magoli ya kutosha,ni mtu anayeijuwa siasa,ni mtu msema kweli, jasiri,imara, hodari, madhubuti, shupavu na mwenye misimamo yake na ya aina yake.
popote alipo ni lazima pafahamike na kuvuma kama upepo wa baharini, ni Mwamba kwelikweli, ni field Marshall ambaye akianza kuzungumza unaona hata sisiminzi wanatulia kusubiri amalize kuzungumza ndio waendelee na shughuli zao.kiukweli huyu Mwamba ni jasiri sijapata kuona. Ni jasiri mpaka shetani mwenyewe anamuogopa.
Leo katika kutoa kwake neno amemmwagia sifa kemkemu Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo kwa kusema kuwa amesimama naye wakati akiwa na cheo na wakati akiwa hana cheo.
Akaendelea kusema kuwa anafurahi tena kumuona akikanyaga katika ardhi aliyopewa na Mheshimiwa Rais kuiongoza na ni bahati ya kimungu , na kwamba ni mwisho kuzaliwa kwa mapooza na kwamba ardhi haitazaa tena mapooza.
Mnafikiri alimaanisha nini Mwamba kwa kauli hii ndugu zangu. Mnauonaje ujasiri wa Mwamba awapo jukwaani na Maiki Mdomoni pake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Nitafanya hivyo ephen. Nakuahidi kwa dhati ya moyo wangu na kwa upendo mkubwa kama wa jua nitafanya hivyo na nitatekeleza.Umeupiga mwingiii sana, Mungu akubariki sana
Ila utumie Abood huyo New Force achana nae ni kichaa
Ameokoka 😂😂😂🔥Leo umeamua kuside na AJG!!
Huo nao ni mpango wa Mungu.
Ukipaniki tuliza kichwa na akili .Kuna mijitu imezaliwa ili iwe michawa kwa wenzao,sijui hata wazazi wao wanajisikiaje kuwa na toto kama hilo!
Askofu Gwajima kwa sasa yuko Israel 😄Utabir wa Askofu Gwajima nimeuamini kuwa ni kweli,maana kila anaposhika Bashite panateleza
Usijali! siku yoyote Mungu akikufanikisha utatimiza ahadi yako, hata ikiwa mwakani.Nitafanya hivyo ephen. Nakuahidi kwa dhati ya moyo wangu na kwa upendo mkubwa kama wa jua nitafanya hivyo na nitatekeleza.
Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja.Lucas,unatia kinyaa sana na sijui una ushemeji na Mods wa JF wanakuacha uposti Uharo wote hapa bila kuunganisha na Uharo wako wa Asubuhi ya leo 😤😡
Hahaha...mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri anakufanya vipi umjadili 24/7!? ukifiria kwa undani utanikuta we ndo mwenye uwezo mdogo wa kufikiri..😆😆No moja ana uwezo mdogo sana wa kufikiri
Katika sehemu ambayo Askofu Gwajima amenyooka basi ni laana yake kwa Bashite.Askofu Gwajima kwa sasa yuko Israel 😄
Wala usijali na wala haiwezi kuwa mwakani.kikubwa namuomba Mungu ajalie uzima na afya njema.Usijali! siku yoyote Mungu akikufanikisha utatimiza ahadi yako, hata ikiwa mwakani.
Friends and our Enemies...
Nahapa ninamnukuu Askofu Gwajima.
''Siyo kwamba Makonda/Bashite hafai kwenye kila kitu la hasha, Makonda au Bashite ana vitu vizuri, ana ule uthubutu au udiriki ambao ni jambo zuri.
Lakini hajawa mature enough kuweza kusimamia mambo ya utawala, kama Mkuu wa Mkoa, kwahiyo nakuomba Tena Kwa heshima Mh Rais, nakuomba Mh Rais huyu ndugu yetu muhamishie kwenye mahala pengine,siyo kwenye mambo ya utawala kama haya,kwenye nafasi hiyo.
Mambo ya utawala yanaweza kumfanya atuchafue na akuchafue wewe mbele ya macho ya wananchi,na ukiendelea kumuacha ipo siku atafanya jambo Bashite huyu,utatoka Moshi watu wote tutashindwa kufungua macho.
Sasa inawezekana tukawa tumeongea mambo mengi sana, Leo Mimi Nampa HUKUMU SASA
View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=_io5j1AmWJ4SbD3x