Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Mbunge wa Rorya ambaye alikuwa team Lowassa ndani ya CCM Lameck Airo anadai nguvu Ya Soda inayotingisha. Nchi sasa hivi ni ya muda mfupi, kwani ni gesi tu.
Anadai Magufuli anakivuruga chama, na punde wenye chama waliomuweka madarakani watamtuliza, kwani hatekelezi imani za chama Bali ilani za upinzani.
Sijui tafsiri ya Lameck Airo, ila nadhani anahofia rungu litamwangukia, kwani kaligeuza Halmashauri kama mali yake binafsi.
Miradi yote jimboni Rorya ni yake na rafiki zake, Ochele Obutu na Samwel Kiboye namba tatu.
Lameck alikuwa aliyazungumza hayo kwenye msiba huko Utegi
Anadai Magufuli anakivuruga chama, na punde wenye chama waliomuweka madarakani watamtuliza, kwani hatekelezi imani za chama Bali ilani za upinzani.
Sijui tafsiri ya Lameck Airo, ila nadhani anahofia rungu litamwangukia, kwani kaligeuza Halmashauri kama mali yake binafsi.
Miradi yote jimboni Rorya ni yake na rafiki zake, Ochele Obutu na Samwel Kiboye namba tatu.
Lameck alikuwa aliyazungumza hayo kwenye msiba huko Utegi