YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Kuna baa zinazomilikiwa na wafanyakazi wa serikali na mashirika ya umma zilikuwa zikiishi kwa wizi.Kukiwa na maadhimisho ya kitaifa wanasingizia wamenunua kreti labda elfu kumi wakati wamenunua mia kutoka breweries kreti zinazozidi wanapeleka kwenye maduka yao ya jumla ya kuuza bia na baa zao.
Hongera Magufuli kuliona na kupiga marufuku sherehe
Hongera Magufuli kuliona na kupiga marufuku sherehe