yaani anayedanganya ni nani? picha katika background. Kisonge ni Michenzani kuna magorofa na Siyo Minazi.Msiikufuru profession yetu na mshike adabu zenu msinajis professionHili bango lina walakini !!!
haina haja ya photo editor ,ccm imefikia mwisho na haswa pale UN watapofika kikamilifu kusimamia uchaguzi kuanzia uandikishaji hadi ulinzi wa uchaguzi ,kama wameiba 27 chini ya UN kama haujawahi kusikia ccm haikupata kura,uchaguzi mwezi wa sita chini ya usimamizi wa UN. au ipeni CUF ushindi wake ili kuepuka aibu ya karne.
Ni katika maskani yao kubwa ya Kisonge iliyoko Michezani Zanzibar.
yaani anayedanganya ni nani? picha katika background. Kisonge ni Michenzani kuna magorofa na Siyo Minazi.Msiikufuru profession yetu na mshike adabu zenu msinajis profession
ingNi katika maskani yao kubwa ya Kisonge iliyoko Michezani Zanzibar.
Hao watu wa cuf itakuwa sio ccm haiwezekani
Mkuu hilo bango wame print?
Wanajisahau.
Sheria ya mtandao inahusika kwa mleta mada.
Kuweni makini vijana, kuna sheria mpya na kali ya mtandao. Achananeni na ushabiki wa kijinga.