Habari
Mimi ni mwanaume wa miaka 52,"Nipo single"Na sijawahi kufunga ndoa katika maisha yangu.
Ni mrefu wa centimetres 170(futi 5 na inchi 7),
Rangi yangu maji ya kunde,
Kwa umbo ni mwembamba.
Nimeamua kujitokeza hapa kutafuta mwanamke mwenye upendo wa dhati na aliyekuwa tayari...
Mm niko Dar es salaam,natafuta kifusi cha lami,ambaye anafahamu kinapopatikana kwa hapa Dar es salaam naomba anifahamishe,ikiwezekana na bei pia,mawasiliano ni 0763 47 47 73
Najitokeza tena hapa!!!,natafuta mke,naitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuanza maisha ya ndoa,naitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea na awe na nia na dhamira ya dhati juu ya suala hili.KARIBU SANA.
Acha kubadilisha mada Preta,mbona ninaeleweka sana nimeomba marafiki niwe nao siku ya ndoa yangu na wanipe kampani siku ya ndoa,sio kila jambo kuweka utundu,lzm siku moja membas wa jamii tukutane na tuwe marafiki wa heshima na ndio maana ya hii jamii.
Kupata mke wa kuoa hapa jamii imekuwa kasheshe kubwa sana kwangu mimi kila mwanamke ninaekutana nae anataka niwe na mjengo na nisiwe na watoto,nina miaka 42,tangu nikiwa na miaka 37 nimeanza sakata ili la kutafuta mke lkn kila mwanamke ninaefanya nae mazungumzo ana malengo yake binafsi ya kuishi...
Habari za hapa wana jamii?jamani wanajamii wenzangu,mm kwa muda mrefu natafuta mke kupitia hapa jamii lakini imekuwa kasheshe kubwa kwangu,kila mwanamke ninaekutana nae,anataka niwe na mjengo na nisiwe na watoto,kweli kupata mke kupitia hapa jamii imekuwa ngumu sana kwangu,kila mwanamke anataka...
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,natafuta mwanamke mwenye jinsia mbili(shemale)awe mke wangu wa maisha,nina dhamira ya kweli na nipo serious kwa hili napenda kuoa mwanamke mwenye jinsia mbili,naomba tuwasiliane kwa email adres ifuatayo fastafastah@ovi.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.