Search results

  1. H

    Nafasi za kazi Magereza,JWTZ na Polisi.

    Nafasi za jeshi huwa zinatoka muda gani?
  2. H

    Nafasi za kazi Magereza,JWTZ na Polisi.

    Jamani mimi ni mhitimu wa mafunzo ya kilimo na mifugo je naweza nikapata nafasi ya kujiunga na jwtz kutokana na hiyo proffesional niliyo nayo?
  3. H

    Pinda na tumaini jipya

    Kwa kweli pinda ni mzungumzaji mzuri sana tena kwa hisia lakini utekelezaji wake hauendani na ahadi zake sasa tuseme watendaji wake wabovu au yeye mwenyewe.Kama matumaini kayatoa sehemu nyingi sana ingawa baadhi ya sehemu katekeleza lakini kwingine imekuwa historia kwa mfano AJIRA KWA MAAFISA UGANI.
Back
Top Bottom