swala la kusema madereva kutembea na vyeti ni dhahiri utoaji wa leseni ni mbovu,mtu atapataje leseni bila kupitia TRA kuonesha cheti? hapo inaonesha mianya ya kupata leseni feki ipo na inajulikana.
Chanzo cha ajali wanasema ni ukuta uliokua unavunjwa uliopo kwenye parking wakawa wameuacha sehemu ya juu ya beam/lenta bila kuumalizia.Ilipofika asubuhi ya leo tu mara ukajimalizia wenyewe.Magari yaliyoangukiwa ni 15 na bajaji 3,majeruhi ni 3.
We boya kweli,duuh!!!! Bw. Ali alijua tu ww ni mbulula,utatoaje hela kwa mtu binafsi wakati huduma unayoihitaji ni ya kampuni? Office za tigo zinazohusika kutoa huduma hyo ulikuwa huzijui?Mwenzio Ali yuko batani sasa anatumbua.
Leo hii soko kuu la Singida limeripotiwa kuungua kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme.Tukijaribu kutafakari ni masoko mengi yamekuwa yakiteketea kwa njia hii na hamna tahadhari yeyote inayochukuliwa ktk kuhakikisha majanga km haya hayajirudii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.