Pro-Chadema hawawezi kufurahia maana mipango yao nikuchochea migomo ili nchi isitawalike bila kujali kama kuna watu wanapoteza maisha wala nini. Kwao kufikiwa kwa muafaka ni kinyume cha ajenda yao
Dawa za muhimbili zimeisha leo wewe. Ninapoongea saivi nina mgonjwa haa Muhimbili. Au mkubwa unaposti kutoka Ulaya. Hata kumuona daktari ni tiba ya kutosha kwa mgonjwa kaka. Tuacheni siasa kwa kila jambo.
Hizo ni propaganda tu ambazo haziwasaidii hawa vijana na hata taifa. Acha warudi wafanye kazi na wasaidie kutibu wagonjwa ambao wengi ni wenye kipato cha chini ambao hawan hata uwezo hata wa kupost hapa JF
Na ni nani alikwambia lengo langu ni kufikiri. Hata kama ungekuwa na mantiki, haiwezekani kukawa na scenario mbili kwa wakati mmoja, kwamba mtu akawa hafifu wa kufikiri halafu awe hajawahi kufikiri. Nyie ndo mmeweka rehani fikra zenu kwa wenzenu
langei Kila kitu kina mwisho wake. Nadhani wamechambua faida na hasara ya uamuzi wao na kubaini kuwa kuomba msaada ndiyo njia mwafaka ya kuendelea na maisha. Hao kina Slaa wenyewe waliowachachoea hawajawasidia hata senti. Hata mashabiki wa migomo hapa JF hawana msaada wowote kwao. Kumbuka hawa...
Ni uamuzi wa busara. Mnaowachachoea kugoma nyie mmekaa na vibarua vyenu na mnaendelea na maisha yenu kama kawaida. Ni nani kati ya wana JF ameshafuatilia au hata kutoa msaada kwa hawa vijana wa vijana wa interns tangu wagome na kufukuzwa vibarua. Wote ni wanafiki mnasubiri kuja kuchangia JF...
Kitovu cha taifa lolote ni taifa, huwezi kuparanganisha familia yako na ya mwingine pamoja na kutelekeza watoto halafu ukajidai unaipenda Tanzania. Hata hao watoto aliowatelekeza ni Watanzania vilevile na upendo wa kweli unatakiwa kuanzia nyumbani. Bado naona huyu jamaa ana mgogoro mkubwa wa...
Kaka, kauli yako inapunguzwa nguvu na ile ya Rose anayedai kuwa mmewe katelekeza watoto. Vinginevyo utushawishi kuwa ndoa hiyo na malezi ya wale watoto unayafahamu kuliko mama yao mzazi
Mmejaribu kuandamana na kugoma mmeona bado nchi iko salama mmeamua kuhamishia mashambulizi yenu kwa vyombo vinavyosimamia usalama wa nchi yetu? Hamtafanikiwa kwa hila zenu
Kuwa kiongozi au kada wa Chama haimaanishi kufa kwa dhamira yako na kuanza kutetea viongozi wako hata kama wamefanya makosa. Huu ni udhaifu na dalili mbaya sana. Hata kama Mandela au mtume alifanya hivyo haihalalishi kwa vyovyote tendo baya. Kiongozi anatakiwa awe mfano wa kuigwa asiyetiliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.