big up Mjengwa kwa uchambuzi makini. Wasiwasi wangu ni kuwa ccm hakuna dalili za mabadiliko. Kwanza chama kimekosa msimamo, kwasababu haijulikani kinasimamia nini. Hebu jiulize kuhusu kujivua gamba, tuliaminishwa kuwa kuna mapacha watatu wanaochafua chama inabidi waondoke lakini mpaka leo wapo...
Tatizo letu wabongo hatujengi mifumo ila tunatengeneza watu. Wakati wa kampeni familia ya mheshimiwa ndio iliongoza mashambulizi. Je mama Salma na Riz 1 ni wakubwa kuliko Pius Msekwa? Hivi CUF hawana wanachama wengine zaidi ya Maalim Seif na Lipumba? Kweli Mrema ni maarufu zaidi kuliko TLP? Bob...
Tanzania kisiwa cha amani, watanzania wanajua na dunia inajua!
Tanzania tumepiga hatua kubwa kimaendeleo miaka 50 ya uhuru, watanzania wanajua na dunia inajua!
Tumefanya maamuzi magumu, shule za kata, UDOM, Kujiuzulu cabinet,watanzania wanajua na dunia inajua!
Tumeuni nembo ya kisasa ya...
Hii ndio Tanzania, zaidi ya uijuavyo, yaani haishi vituko. Mosi, gazeti la Uhuru ndio limekuwa Afisa Habari wa TRA? Pili, TRA walikuwa wapi mpaka Chadema ikakwepa kodi kwa miaka 19? Tatu, rekodi ya ulipaji kodi ya CCM iko wapi? Nne, TRA wameshindwa kukusanya kodi kwenye sekta nyeti ya madini...
Hoja ya Mhe. Rais ni nzito na inahitaji uchambuzi yakinifu ili kupata mantiki yake. Jambo la kwanza kila mmoja wetu anakubali kuwa biashara na matumizi ya dawa za kulevya yamezidi kushamiri hapa nchini na madhara yake yanajulikana. Pili, wahusika katika biashara hii ni wanadamu wenzetu wa hapa...
Hongera Bashe, tatizo maneno yako hayawiani na matendo. Watz tumekosa uzalendo tumebaki kuwa wanafiki, hivi 'character assasination' na siasa za 'personality' ndio kuchaguliwa kwa JK, kupigwa chini kwa Sitta au Chenge kuwa M/kiti Kamati ya Maadili? Give me a break- Hatudanganyiki
Mzee Makamba amefanya kazi yake vizuri ya kupiga porojo nafikiri nafasi yake kubwa kabisa ya utumishi wa umma angestahili kuishia kwenye ukuu wa mkoa. Baada ya kustaafu kumpa kitu cha kufanya labda angejiunga na TOT pale na akina John Komba wakaimba nyimbo za kuhamasisha wananchi kuunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.