kuna mmoja nimemfatilia sana aise, mara anichukie, mara aniblock, mara ale pesa zangu kizembe tu, nikawa najipa matumaini huku nikiamini mke namtafuta.....ikawa kila ninavozidi kumzoea nikaona ni mtumiaji zaidi, sio kama anavojichukulia, "you know", zinakua kibao wakati umri unaenda...
Kwa upande wangu nina miezi tisa saiz....wakati nafanya kazi mkoa fulani hivi nilikua na urafiki na jamaa mmoja na muda mwingi alikua yupo tu....
Then akaja kunieleza kua yeye masuala ya kunyoa na music anayaweza...
Then nikanunua vifaa vyote vya saluni, tukatafuta fremu na kazi ikaanza...
Ni zaidi ya mara moja naota hii ndoto ya kwangu
Huwa najikuta nipo jiran na mitihani na mara nyingi ni siku moja kabla ya pepa, mara zote huwaga linakuja somo la math na ni advance
Najikuta natakiwa nijiandae ndani ya siku moja na nimesahau vitu vingi na muda ni mchache sana, nakua nafanya...
hiv hili kundi sijalielewa bado, imekuaje lesotho akawa nafasi ya pili
maana naona kafungwa magori saba
na sisi tumefungwa matano,
magoli yakushinda wote tunayo matatu
hebu mwenye ufafanuzi hapo aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitu hakuna....hauwezi fanya mtihani bila kulipa ada lamili....ID ya kufanyia mtihani uliipataje?
Utaratibu wa UDSM ni kwamba lipa direct cost na ada, upewe id ndio utakua unaruhusiwa kufanya chochote kinachohusiana na chuo
Aise nimekumbuka mbali sana:
Kunasiku nimetoka chuoni na kwenda kiwanda cha bia cha *serengeti* kupeleka barua za field .
Kufika pale mapokezi nikamweleza dada kilichonipeleka:
Nikaambiwa "nikuambie kitu kaka, barua yako naipokea naitupa pale"
Nikamwambia naomba niongee na HR...nikaambiwa peleka...
Mkuu samahani nataka kuhudhuria semina ya jumatatu 23/10/2017 itakayo fanyika dar....sasa nataka kujua nalipaje pesa ya semina ?...na expense nyingine ni zipi?....
Thanks in advance mkuu i would like to get into this as soon as possible mkuu..
Nimefanya mazoezi ya kutosha na kusoma vitabu...kwa sasa nina mwanga kwa kiasi chake....katika kuongeza maujuzi napenda kujua vitu vifuatavyo..
1) nataka nishift from demo account to real account, how do i go about??
2) brokers ambao most of you mnatumia hasa mliohudhuria kwenye seminors ni...
Nimefanya mazoezi ya kutosha na kusoma vitabu...kwa sasa nina mwanga kwa kiasi chake....katika kuongeza maujuzi napenda kujua vitu vifuatavyo..
1) nataka nishift from demo account to real account, how do i go about??
2) brokers ambao most of you mnatumia hasa mliohudhuria kwenye seminors ni...
Nimefanya mazoezi ya kutosha na kusoma vitabu...kwa sasa nina mwanga kwa kiasi chake....katika kuongeza maujuzi napenda kujua vitu vifuatavyo..
1) nataka nishift from demo account to real account, how do i go about??
2) brokers ambao most of you mnatumia hasa mliohudhuria kwenye seminors ni...
Nimefanya mazoezi ya kutosha na kusoma vitabu...kwa sasa nina mwanga kwa kiasi chake....katika kuongeza maujuzi napenda kujua vitu vifuatavyo..
1) nataka nishift from demo account to real account, how do i go about??
2) brokers ambao most of you mnatumia hasa mliohudhuria kwenye seminors ni...
Nimefanya mazoezi ya kutosha na kusoma vitabu...kwa sasa nina mwanga kwa kiasi chake....katika kuongeza maujuzi napenda kujua vitu vifuatavyo..
1) nataka nishift from demo account to real account, how do i go about??
2) brokers ambao most of you mnatumia hasa mliohudhuria kwenye seminors ni...
Nimefanya mazoezi ya kutosha na kusoma vitabu...kwa sasa nina mwanga kwa kiasi chake....katika kuongeza maujuzi napenda kujua vitu vifuatavyo..
1) nataka nishift from demo account to real account, how do i go about??
2) brokers ambao most of you mnatumia hasa mliohudhuria kwenye seminors ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.