Search results

  1. O

    Pinda: CHADEMA wanatekeleza kauli yao ya nchi haita tawalika

    Nasikia Pinda ni mwanasheria mwenye digrii ya SHERIA.
  2. O

    Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

    Kaka Sergio, Askofu Pengo alitoa TUMAINI TV live saa nne kasorobo siku ya Jumatatu Usiku.
  3. O

    Mulugo unavumiliaje kashfa hizi?

    Hivi ile thread ya kumpigia simu Mulugo ili ajiuzuru imeondolewa ?
  4. O

    It tutor

    I am urgently looking for someone who can teach MS Office 2010 Plus. If you think that you are competent, please send email to kilibata@iit-tz.com.
  5. O

    Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

    Nami nilikwenda Ruaha kwa nia ya kulima kitunguu lakini mwenyeji wangu akanipa wazo la kuanza na nyanyachungu. MUNGU akijalia kuanzia wiki ya mwisho ya January nitaanza kuokota moja moja. Nitawajuza.
  6. O

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Pia kuna mmea unaitwa tulatula sijui kama ni Kiswahili au kikwetu), mimi huwa nawatwangia majani yake na kuweka kwenye maji wanakunywa. Sina ushahidi wa tiba wala kinga ya nini ila huwa nawapa kwa kuwa nami nilipokuwa mdogo nilimwona baba anawapa. Pilipili pia zinatumika japi sijui zinasaidia...
  7. O

    MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

    Mkuu Kajole au yeyote anisaidie na mimi. Nataka kulima Dakawa kwa njia ya kukodi shamba. Naomba kujua yafuatayo 1. gharama ya kukodi ekari moja 2. Bei ya mbegu 3. Kiasi cha mbegu kwa ekari 4. Madawa 5. gharama za kulima 6. gharama za madawa 7. mavuno ya juu na ya chini kwa ekari 8. muda wa...
  8. O

    Msaada wa mawazo,jinsi ya kupata funds ya kuendesha micro-finance coy

    Ndiyo hivyo nasema uwatembelee utaweza kupata ideas kwao pia.
  9. O

    Msaada wa mawazo,jinsi ya kupata funds ya kuendesha micro-finance coy

    Ninavyofahamu Microfinance zote zinakopa kutoka kwenye mabenki mbali mbali. Jaribu kutembelea banks mpya kama EQUITY BANK etc.
  10. O

    Asanteni JamiiForums, hatimaye nimeanzisha mradi wangu lakini bado changamoto zipo!

    Kuhusu dawa kwenye ubaridi - ukienda kununua wanakuwekea kwenye barafu. Waambie unakweenda mbali na utafika kabla haijayeyuka tukichukulia mwendo wa saa tatu hadi tano. Mimi kuna kipindi huwa nanunua inakaa muda wa saa 12. Njia nzuri zaidi ni kwenda na chupa ya chai na kuomba hiyo dawa...
  11. O

    Kashfa ya "degree ya chupi": Mkuu wa wilaya ya Korogwe kizimbani

    Wapi alisoma haijalishi ila kwa DC kutoa maneno kama hayo ni kudhihaki kiti chake. Aliyepiga walimu wazembe mkoani Kagera alifukuzwa kazi. Nashangaa kwanini Gumbo bado yuko ofisini.
  12. O

    Msaada wa Kisheria kuhusu Embe

    Hivi huyo ambaye matawi yanaangukia kwake, ikitokea siku moja tawi likavunja kioo au likaumiza mtu atakubali yaishe kwa kuwa nae anafaidi maembe? Nafikiri ushauri mzuri na wa kudumu ni kukata hayo matawi, labda kama mjumbe unapenda kuneemeka na mgawo wa hizo embe. Mfano wa mkahawa (Omumwani)...
  13. O

    Hili la yanga na vodacom limekaaje?

    Hapa naona na Vodacom wana uvyaifu. Kama wao rangi yao ni nyekundu kwanini watengeneze nembo ya rangi tofauti ? Naamini hiyo logo yao imesajiliwa na BRELA sasa inakuwaje leo waisikilize timu. Jambo lingine ni uonevu kwa timu ndogo kama African Lyon, kwa nini nao hawakupewa fursa ya kuongea na voda ?
  14. O

    Wapendwa wana jamiiforums, mimi ninatafuta kazi ya secretary

    scan vyeti unitumie kwenye kilibata@iit-tz.com
  15. O

    Plot for sale at kimara

    Plot available at Kimara Baruti about 1km off Morogoro Road. Size 30m x 18.3m. Asking price 20m. Contacts: 0713/0767/0783 - 310750
  16. O

    Kiwanja Kimara Baruti

    Nimetoa email address yangu na wahitaji wamekwisha anza kunitumia email. Naamini mtu anayehitaji atatuma email na tutaanza mawasiliano rasmi. Kuna wanaosema sikutaja kitu kimoja tu ambaho ni bei lakini nafikiri unapotaka kununua kiwanja ni vizuri ukajua mambo mengine kama 1. Kina hati 2. kiko...
  17. O

    Kiwanja Kimara Baruti

    Nauza kiwanja kiko Kimara Baruti (maarufu Matete au kwa Koka). Urefu futi 117 (mita 35.7); Upana futi 60 (mita 18.3); Eneo (Area) 7020sq.ft (653.31sq.m). Kwa mnunuzi nitumie email kilibata@iit-tz.com
  18. O

    Nauza Vifaranga wa Kienyeji

    Mimi napenda walio na umri wa siku moja hadi tatu ili nianze nao mimi mwenyewe. Je naweza kupata ?
Back
Top Bottom