Serious nahtaj mwanamke aliye serious; tukikubaliana basi tuingie kwenye hatua nyingine.
Am 32 years, nna elimu ya chuo kikuu na ni mwajiriwa.
Nahtaj mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 22-30, elimu kuanzia kidato cha nne, mambo mengi tutayaongea tutakapowasiliana.
Kwa aliye serious tu...
Am Johnson, nina miaka 32, elimu ya chuo kikuu,ni mwajiriwa.
Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Elimu; kuanzia kidato cha nne
2. Mwonekano; asiwe mwembamba sana, mfupi sana, wala mrefu sana.
3. Dini; yoyote.
Anaehisi ana vigezo hivyo hapo juu, tuwasiliane kwa jsam0309@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.