Sasa tunaoneshwa wazi kuwa hakuna mgawanyiko wa mihimili mitatu katika serikali ya tz kwani kiongozi wa bunge amedhihirsha hilo kwa kuaccep the gvt command.
Ndugu zangu, mi nafikiri ni vizuri na faida kwa wabara kuachana na hawa jamaa. Hebu tuwaache waende, tunaweza kuishi bila muungano tena kwa raha mustarehe kuliko wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.