Mnachosahau Ni kuwa wanaume Ni polygamist naturally Ni muda tu ndio huwa unatofautiana.
Hata hao wanaojifanya wanawapenda wake zao kuliko chochote.
Wafuatilie miisho yao.
Nyie mnawaza kuwamiliki wanaume Kama chupi.
Kwamba ukiwa naye Ni wewe tu!
Endeleeni kujisahaulisha.
Labda Kama baadhi wataamua kutokuwa na watoto kabisa maishani mwao.
Ratio ya 1:1 haipo na haiji kutokea kwa nchi nyingi. Haya mambo hata kwa walizotuletea dini yamewashinda. Ndio maana wameamua kurahisisha talaka. Mnaachana kila mtu anakuwa na mwingine mmoja tu. Lakini katoka kwa mwingine...
Bahati mbaya wengi unakuta walishazalishwa wakaachwa tena na waume za watu.
Na wao wanataka waume zao peke yao.
Wanawake wanachokitaka wanajua wao na Mungu wao
Kuna wengine waliambiwa hivyo sasa hivi wapo mtaani na watoto ambao baba zao wanaishi kwao na wake zao.
Wameishia kuwa side chicks.
Mambo ya kumwambia mtu asome mengine atayakuta mwisho form six.
Mara nyingi mtu anayesoma advanced diploma kwa kozi anakuwa alisoma diploma akaajiriwa na baadaye kurudi shule.
Amejipima na kukuta anakumudu na anaweza kukuhudumia.
Hivyo mpime na wewe aafu ufanye maamuzi sahihi.
Unaweza mkatalia akaoa mwingine ukaishia kujilaumu.
Wanaume hawalazimishi kuoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.