Mheshimiwa Mpanda Merikebu,
Asante sana kwa ushauri hasira zinazidi ukereketwa siku zote nimekuwa msomaji jana nimeamua na mimi nijitose kutoa michango yangu.
Thanks
Labda mimi niwachambulie kidogo matatizo ya MSD na ARV
1. Kwanza nakubaliana kabisa na mtoa mada kwamba Wizara ya Afya inahusika na Kuua watu(indirectly). Hapa kwetu Tanzania Dawa husambazwa na MSD nchi nzima. Matatizo ni mengi kama ifuatavyo
a) Urasimu uliopo katika Manunuzi ya Dawa hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.