Sizan kama kuna iman inamtaka mtu afungulie maspika usiku kucha, n ratiba zao tu wanaeza shauriwa kuzibadili, kuna madhehebu wakikesha taifa linajua na ulinzi unaimarishwa
n vema na haya madogo madogo kila kona wajitahid kupanga cku maalum..point yangu ni usalama na utulivu kwa watu wengine
Mtaani kwetu wezi wanatumia fursa hiyo kufanya yao a kutogundulika kirahici kutokana na makelele ya bar na makanisan.
Ni vema kuwe na mikesha maalumu inayotambulika kitaifa na ulinzi uimarishwe na pia sheria ya kuanzisha makanisa ipitiwe upya coz kila mtu anataka kuanzisha ni wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.