Kama aliwahi ku'abort inaweza kuwa chanzo kwa kukosa huduma zote za mtu aliyejifungua so hakusafishwa fresh na hali hiyo obvious yaweza kutokea. Kama hukushiriki katika hili kuna uwezekano ulizungukwa. Ni mawazo yangu tu wala usiyaamini moja kwa moja ukavunja mapenzi yenu.
Usiumie sana, walitimiza wajibu wa kisheria tu kuutangazia umma nafasi za wajinga wenzao. Tangu awali ilifahaamika kuwa kazi hizi walishajigawia wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.