Jee munawasikia wawakilishi wetu wanavyokua wakali kuchangia juu ya mfumo wa muungano uliopo sasa? Duh! Ukiwakiliza utadhani leoleo muungano unabadilishwa mfumo wake lakini mbona hakuna dalili za mabadiliko? Tunahisi kama wanatupiga fix wao maisha yana sogea.au mnaonaje nyinyi wenzangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.