hili lilitokea Zanzibar limetufanya wa Zenj tuchanganyikiwe . Mwenye kiti wa tume amefuta matokeo , makamishna wa tume wamesema yale si maamuzi ya tume bali ya mtu binafsi .
Majimbo mapya manne ya
uchaguzi yaongezwa Unguja. Tume ya uchaguzi Zanzibar
(Zec) imeongeza majimbo ya
uchaguzi kwa Zanzibar kutoka
50 hadi 54. Hata hivyo, majimbo
yaliyoongezwa ni ya upande
wa Unguja wakati Pemba
imeendelea kuwa na majimbo
18 kama ilivyokuwa awali. Hatua hiyo ya Zec...
upotoshaji mkubwa juu ya Chuki Za kisiasa Zanzibar hakuna chuki kati ya Muunguja na Mpenda Zanzibar . Kwan kwa sasa c aghlabu kukuta mpenda asie husu Unguja na Muunguja asie husu pemba.
Ila huenda chuki ikawepo kati ya CCM na CUF wa Zanzibar, CCM mpemba AU muunguja ana mchukia CUF haijalishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.