Lema bana, sikujua kama huyu jamaa ni slow learner wa ajabu namna hii. Tangu ameanza harakati zake kisiasa, mwanzo kwa kikwete, alikuwa angalau hata nafoka, siku hizi kapoooooaa.
Hivi nimuulize Lema na UKAWA wote, mikakati yenu ya kuchukua nchi ipo vipi.? Jipimeni kwa mikakati madhubuti, wakati...
Watu mna mawazo ya ajabu sana. Yaani umekaa geto na ki touch au ki pc chako, unajilazimisha kuvuta picha ( ILLUSION ) ya Mchapakazi Paul Christian Makonda, halafu unaifanya REAL (ajabu kabisa).
Kisha hayo MALUWELUWE yako kumuhusu Mchapakazi Paul Christian Makonda unayaleta humu eti nao uzi, na...
Kwa hiyo mahakama ilidanganywa.? Kama ilidanganywa, una njia yoyote ya kuisaidia itengue huo uongo.? Kuweni wavumilivu, visabengo wenu Lisu na Boniface Jacob si tayari wameshaenda kwenye sheria.?
UKAWA hamnazo kweli, yaani mnadhani kuja kulalamika humu ndo mnapata haki zenu za kisheria. Mbona...
Tena mvamizi ana kiherehere ile mbaya. Nadhani hakuwahi kuwaza siku moja atakuwa " Rais ".
Kachangamka utadhani kakamuliwa maji ya ndimu mdomoni. ha ha haaa.! " eti kipindi kile tu kachaguliwa anataka kuonana na Rais mwenzie, yaani nilicheka mpaka basi.
Wape za uso mwa'ngu, wape wape mpaka wavimbiane mimacho wasione kabisa.! ha ha haaa.! yaani kuna vidude vinajifanya vinajua kushauri wakati hata udiwani tu hakijawahi kugombea.
Mbowe aliposhauriwa na CCM kuhusu kumsajiri fisadi Lowasa a.k.a oil chafu, kwa majigambo alisema hivi " ukiona CCM...
Mi naitwa Salim Juma Magole, katika hali ya kwaida tu shuleni alikuwepo Salim Juma Magole. Basi shule wakawa wanatutofautisha kwa mimi kuitwa Salim na mwenzangu wakawa wanamwita Juma.
Kufanana majina sidhani kama ni dhambi, sasa mi nashangaa eti Paul Christian Makonda analazimishwa awepo mmoja...
Kama ndio hivyo, basi kazi ipo. Yaani una unakuwa na options 4 za kufanya jambo, 3 zinaruhusiwa 1 inazuiliwa, unaamua kususa au kuacha kulifanya hilo jambo halaf kichwani mwako unaamini kabisa hilo jambo lina manufaa kwa jamii.
Unakaa nalo tu moyoni, kisa umeruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara...
Kiongozi kwani kuchambua ni mpaka mwanasiasa apande jukwaani. Mbona kuna mikutano ya ndani wameruhusiwa, hiyo haimtoshi mwanasiasa kuchambua.? Mbona wameruhusiwa kufanya mikutano kila mbunge kwenye jimbo lake, mf. Lema, Nape, je, hiyo haitoshi kuchambua.? Mbona hata bungeni wanaongea vitu vya...
Duh.! Mi nilijua baada ya kutapika nyongo, utatoa slolution. Kumbe na we ni wa kulia lia tu. mi binafsi sipendi mtu wa kulialia hapa dunia, kama ni hukumu ya Mungu subiri utaenda ukalie kwa Mungu huko siku ya kiama.
Vyovyote itakavyokuwa, sijui hata kama una ushahidi naona ni story zilezile...
Duh.! Kamanda upo nondo ile mbaya aisee, hadi ushahidi unao..?? Sasa kwa nini usiende polisi au mahakamani hili jambazi likamatwe likafungwe.? Yaani una ushahidi wa jambazi, halafu unauleta humu..??
Asante mi sitakuongezea neno lingine zaidi ya kukuambia ulikuwa chizi wa muda ulivyong'ang'ania hicho kihoja chako cha "walioghushi vyeti"
Chizi sio tusi, ni sifa ambayo nimekupa na nimekuongezea vitu hapo ujifunze. Hayo maneno " mazuri " mengine uliyoniongezea hata maana yake siijui, ila...
ha ha haaa.! najua mnajua umuhimu wa elimu, ingawa mnatania.
Tatizo ni pale utakapopigwa chini Ubunge na Uwazir, ndio utajua kumbe umuhimu wa kusoma upo pale pale. Wakati mwingine ili kufikia uwaziri au ubunge ni lazima uonekane utendaji wako wa kazi kwenye sekta zingine zinazohitaji elimu...
Dah.! jamani mmeamua kuwalisha matapishi yao hawa jamaa sio, maana walitapikaga mbaya, mwisho wa siku Rubani "hodari" jemedari wao aliyewashikia akili zao, DJ, mpiga dili maarufu a.k.a M.bowe, alipobadilisha tu gia hewani wote wakaanza kuyala tena matapishi yao wao wenyewe.
Duh.! kuna watu...
Kamanda, wakati mwingine hutokea hata wafungwa wanasamehewa. Rais kaamua hivyo tuheshimu maamuzi yake, anayo mamlaka hayo.
Jela nako sio kuzuri sana wakati mwingine kamanda. ha ha haaaa.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.