Hawa NIDA wanafanya kazi kwa mazoea kwani ofisi zao za Wilaya ya Temeke zilizopo Kigamboni muda wote zimefungwa ila ukienda na gari ndo unaruhusiwa kuingia make kwa sisi wananchi wa kawaida haurusiwi kwenda pale hata kuulizia masuala ya utendaji wao wa kazi na kuhusu mapungufu yaliyopo kwa...
Wana jamvi,
Mamlaka ya iliyopewa dhamana ya kuratibu mchakato wa vitambilisho vya taifa imeonesha udhaifu mkubwa sana na urasimu wa hali ya juu.
Kwanza,utoaji wa ajira za muda mfupi kwa vijana wanaohusika na upigaji picha.NIDA wametoa ujira kwa usiri mkubwa sana na kwa taarifa za kuaminika ni...
MBINU YA KUHUJUMU KURA ZA RAILA ILIFANYWA NA UHURU KUPITIA IT
ii mbinu imegundulika kupitia mtandao wa safaricom na kubaini kura zake zilikuwa zikibinywa na wataalam wa IT katika matokeo ya awali na washukiwa wote watachukuliwa atua na tume ya IEBC
Ngoma bado mbichi kwani wameanza upya kuesabu kura uwezi jua kete itaenda kwa nani ila inavosemekana kura za Raila zilikuwa bado hazijaesabiwa na sasa ndo zimeingia boma uenda wakaenda round ya pili 2subili
kiukweli tumechoka kuona TEKI na PENGO wapo kimya tunataka tamko na utekelezaji wa matamko kama wameshindwa watwambie tuingie barabarani make hatuwezi kukubali viongozi wetu wa kidini wanauwawa kila siku
MH.Tundu A. Lissu amekuwa gwiji wa taaruma ya kisheria nchini kwa kuweza kuonesha ufundi na weledi mkubwa katika kesi zote alizozisimamia mfano mzuri ni kesi ya mh. Lema, kesi ya kupinga ubunge wake na nyigine unaweza kuongezewa ivyo anaitaji pongezi kubwa sana.Kiukwei the he is very smart anvd...
Asante sana Rugambwa alikuwa mtu muhimu sana ktk taifa hili na alisaidia sana taifa ili so RIP na wamefanya vema kumzika kanisan make ilo kanisa aliacha ameweka juhudi zake kubwa amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.