Sijakata kwamba msiongelee matatizo na jinsi ya kuiendeleza Rorya. Im with it 100% hata mimi ni mwana Rorya na ningependa san kuona Rorya inaendelea, ma question is tender ya TACAIDS na maendeleo ya Rorya yanahusiano gana???????????
huyo mchumia juwani mimi sioni alicho kielezea zaidi ya...
2 U Mchumia Juwani
Unasema Hospitali Ya Rao Inakufa Unasema Kwa Sababu Ya Huduma Mbovu???????? R U Out Of Ur Mind?????????? Si Inakufa Kwasababu Ya Umaskini Ya Watu Wa Shirati U Can't Aford To Pay The Med Bill!!!
Nasubiri Facts !!!
2 U dmussa
UNAPOSE MA LUGHA YA "DHIAKA NO"
MBONA HUKUMKATAZA HUYO MCHUMIA JUWANI ALIPO ANDIKA KUMDHIHAKI IGOGO.
KAMA ALITAKA WATU WAJUWE THIS ISSUE KWANINI ASIYIANDIKE TU KAMA TAHARIAFA NA BADALA YAKE ANAANDIKA UMBEYA????
Oh yeah right Im taking it personal na naona ni udaku kwasababu ukianza kwenye kuchambua wahusika uliye muele zea ni Igogo peke yake why??????:rolleyes: kama wewe si mwanga wa Igogo?? mbona ukuwaongelea wengine??? ex. nani mmiliki wa Rao?? nani mmiliki wa Koshika???
Unamtaja Igogo kama...
UNAPOSEMA NIMETUMIA JINA LA Dr. MAKOYE KWAMBA UKUTAJA MAJINA, MBONA UMETAJA IGOGO AU SARUNGI KAMA HII ISSUE SIYO PERSONAL 2U.
KWANINI UKUTAJA MMILIKI WA RAO HOSP. KWA JINA LAKE.
UNALETA UDAKU.
SINA MAJUNGU NAMTU NA WALA SIOGOPI MTU, KAMA U'VE FACTS SHOW THEM???? SIO UNATAJA MAJINA YA WATU...
Ulie andika hoja hii ni mpuuzi na hauna akili!!
Badala ya kuandika mambo ambayo yanaleta maendeleo unapoteza muda kuandika umbeya. kwanza hujui na wala hauna ushahidi wa unacho kiandika. ukiulizwa evidence sijui utatoawa nini. mpuuzi tu wewe acha majugu.
Walipata tenda kwasababu wali meet...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.