Kila mara yanapojiri maswala mazito ya kitaifa kama hili la udini sasa; viongozi wote wa vyama vya siasa wangefanyiwa mdahalo wa kitaifa wa pamoja ili waeleze nini sera na mapendekezo ya vyama yao (kila chama) katika kukabiliana na uzito wa swala liwalo. Hapo tunaweza kuelewa chama kipi...
CCM waseme kuhusu afya ya Baba Lao, mbona kashaanguka hadharani mara kibao lakini anacheka cheka tu?. Leteni hoja Binafsi kuhusu afya za wabunge chama tawala na wabunge wa upinzani. Wekeni hadharani nyodo zenu wabunge. Leteni hoja binafsi kuhusu mawaziri na marais walioenda Loliondo kwa Babu...
Rage au Rege? Bangi tupu. Kiboko yake Mzee Kapuya na yule Mzee Ndolanga. Tatizo la wajelajela ndio hilo kwani Nchimbi katuambia 40% ya walioonja jela hupenda kurudi jela. Rage Mjela-jela.
Takukuru ni taasisi ya kuzuia kupambana na rushwa na si vinginevyo.
Kuhusu kuikana rushwa ya rada kwanza kabisa kikwete haoni soo kudanganya kama mnabisha basi naamini kabisa kuwa kuna siku atakuja kukataa kuwa aliwahi kuwa rais wa tanzania na atatoa vielelezo.
Pili kikwete ni mwoga kama...
Mwanahalisi mjue tunaopenda ukombozi wa fikra tunataabika kuwakosa fanyeni kila linalowezekana tusiwakose. Serikali mnajidangaya kulifungia Mwanahalisi ni sawa na kulifunika jua kwa kuchoma moshi, Lakini Satelaiti mtazifungia?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.