Kwa mwendo huu wa JPM hakuna shaka kuwa ulevi Rombo sasa unachungulia kaburi. Huku vijana hawachezi pool asubuhi bali wanaanza kunywa pombe asubuhi. Kila duka rombo ni LAZIMA kuwe na pombe hata kama ni duka la viatu au vitabu. Hakuna cha baa wala grosari kwani vijana wanabeba pombe za kwenye...
Kama safari moja ya Ulaya aliyofuta Mheshimiwa Rais na Sherehe ya kupongezana ameweza kuokoa milioni 900 ndani ya wiki moja ni kwa nini watoto wasisome bure? au madawa yakosekane hospitali? Naomba aangalie na maeneo mengine mfano magari kwenye mawizara na taasisi za serikali ni mengi mno na ndio...
Ndugu wadau, kwa watumiaji wa NMB mobile ni majanga matupu. Mathalani unapoulizia salio lako, unapolipia luku,au unaponunua muda wa maongezi, unapothibitisha kwa kuingiza '0' basi unaletewa kitu kimeandikwa EXTERNAL APPLICATION DOWN. Maana yake ni kuwa zoezi limeshindikana lakini hela yako...
Ebu wamuache Bashir wa watu! Oneni yanayotokea Iraq baada ya kuondoka Saddam na pia yanayotokea Libya baada ya kuondoka Qadaffi. Na sudan itakuwa hivyo hivyo. Madikteta wana sehemu yao. mbona ISIL watashangilia?
Wadau mimi ni mtumishi wa serikali na nilikata bima ya miaka 9 na NIC.Bima yangu ilishaiva tangu August mwaka jana na sasa ni miezi 10 hawa jamaa hawanilipi hela yangu! Kila nikienda kwenye ofisi zao naambiwa njoo wiki ijayo. Je ni hatua gani naweza kuwachukulia haawa jamaa?
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.