Jamani mwili wangu ilikuwa unauma katibu wiki nasumbuliwq na maumivu ya nyonga na shingo nimekunywa jana Leo asubuhi nimeamkia chooni nimeharisha maumivu yote yameisha na mwili umechangamka sana nililuwa naizarau lakini kuanzia sasa nitakuwa nakunywa kila wiki mara moja
Jamani Hawa IS si watu wazuri
Kuna jamaa anatengeneza maboti pale Slipway boat yard mwarabu wa Mombasa naskia nae ni member inabidi achunguzwe maana siku chache zilizopita ulizuka moto Slipway
Kwa ufupi nimesikitika sana baada ya kusikia Mwijaku kuwa muhamasishaji, simba ni next level sasa tunaanza kurudi kwenye level ya utopolo yaani tunarudi nyuma badala ya kumove on, kuna uazima gani wakuwa na wahamasishaji ? Huu ni uswahili bana tutoleeni takataka zenu
Mfano mi nimeanza kazi na miaka 20 Nimeanza kuchangia nikiwa na miaka 20 mwaka 2003 nimeshachangia michango zaidi ya 180 sawa na zaidi ya miaka 15 nimeachiahwa kazi. Je naruhusiwa Luigi's kwenye pensheni au kupewa changu chote maana umri wangu kwa sasa ni miaka 38 na nimeanza kuchangia tangu...
Naitaji aridhi heka 5
Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar
Iwe imepimwa
Budget yangu ni 10m.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Full furnished,
Standby generator
Big sitting room
3 bed rooms
Near agha Khan masaki
Usd 5000
+255787688433
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.